Sitaki tena kupaa angani

TRIPLE H

JF-Expert Member
Feb 18, 2013
651
349
Wadau salaam,

Nataka kushirikisha uzoefu wangu kidogo kuhusu haya masuala ya kupaa angani usiku na hata mchana. Faida na hata hasara zake!

Nilibahatika kuishi na mjapani mmoja jina lake Yokho Zim nchini Canada. Huyu mtu alikuwa mpole na mstaarabu sana. Alipendwa na kila mtu miaka hiyo ya '90 wakati tunasoma chuo kimoja jijini Ontario. Kwa kuwa nilikuwa mtu ninayejiweza kimasomo alishawishika kuambatana nami kila mahali na hapo ndipo nilipoanza kuichunguza mienendo yake.

Kama angeamua kukaa kimya hata iweje asemi na mtu. Aidha kama ingetokea nikamwacha mji mwingine kama Saskatchewan au Fort hills nilikuwa nashangaa kukuta ashanitangulia kufika chuoni. Angelala kumuamsha haikuwa rahisi labda aamke mwenyewe. Ungemwazia vibaya angekuuliza "kwa nini unaniwazia hivyo?" au "kwani nimekukosea nini hadi utake kuni...." tabia hiyo ilishangaza wengi.

Hayo na mengine mengi yalinipelekea kumchunguza ndipo nilipomgundua hakuwa mtu wa kawaida!

Alipogundua kuwa nishamgundua aliniambia mambo mengi sana ya ajabu na ya kutisha kwa angalizo nisimwambie mtu yoyote, la sivyo ningekutwa ya kunikuta!

Niliamua kukaa kimya, hatimaye nikamsihi anifundishe 'manjonjo' yake, akakubali kwa sharti lilelile la kumsetiri. Tulianza kufanya mazoezi kila siku za j.4 na alhamis mida ya saa 2 - 5 na kuanzia saa 5 - 9 usiku tulikuwa tunaenda 'field'!

Tulipomaliza chuo kila mmoja akashika njia yake, akarudi kwao Japan nikaenda kufanya kazi Colombia. Hata hivyo tulikuwa tukiwasiliana mara kwa mara, mara mie nimfuate Japan au yeye anifuate Colombia. Tulikuwa tunapaa zetu kila tulipotaka kutembeleana.

Niliporudi Tanzania mwaka 2010 niliishi maisha hayo hayo ya kupaa, kupotea ghafla (disappear), kusense mind za watu, kujihudhurisha katikati ya watu bila wao kunitambua, kulala na wanawake ofsn bila wao kujua iwe ucku au mchana, kusema mawazo ya mke wangu nk.

Maisha haya yamenikosesha raha sana kwa sababu nakosa kampani ya watu, ndg na jamaa wananiogopa, nikifika mahali watu wanakaa kimya au wanatawanyika, mke wangu wa kwanza amenikimbia, Wateja kwenye biashara zangu wanapungua kila mara, sipati kabisa ucngz kwa sababu nikipanda tu kitandani nasafiri angani kwenda nchi mbalimbali na wakati mwingine napambana na nguvu pinzani au wachawi, sina hamu ya mambo ya Mungu. Na kadhalika!

Sasa nimeamua kuacha rasmi mambo haya ili nami niishi kama binadamu wa kawaida, nimjue Mungu na niendelee na ishu zangu. Pia kwa wenzangu na mie hususani mliosomea far east haya mambo si ishu kabisa, yanakosesha raha, twawezayaacha.
Nasisitiza,

SITAKI TENA KUPAA!!!!!!
 
hizi story bwana! hapo kuna lengo, baadae mada inabadilika na mada za mahubiri zinaanza!!!!!!!!!

Ni kama picha za kina Aunt Ezekiel...bint tajiri anampenda kijana masikini,kuna mawili binti kumwezesha masikini wa watu na ndoa inafuatia ama binti kujiua baada ya wazazi kumkatalia...embu tusubiri huyu skydiver anataka kutuambia nini!
 
Wadau salaam,

Nataka kushirikisha uzoefu wangu kidogo kuhusu haya masuala ya kupaa angani usiku na hata mchana. Faida na hata hasara zake!

Nilibahatika kuishi na mjapani mmoja jina lake Yokho Zim nchini Canada. Huyu mtu alikuwa mpole na mstaarabu sana. Alipendwa na kila mtu miaka hiyo ya '90 wakati tunasoma chuo kimoja jijini Ontario. Kwa kuwa nilikuwa mtu ninayejiweza kimasomo alishawishika kuambatana nami kila mahali na hapo ndipo nilipoanza kuichunguza mienendo yake.

Kama angeamua kukaa kimya hata iweje asemi na mtu. Aidha kama ingetokea nikamwacha mji mwingine kama Saskatchewan au Fort hills nilikuwa nashangaa kukuta ashanitangulia kufika chuoni. Angelala kumuamsha haikuwa rahisi labda aamke mwenyewe. Ungemwazia vibaya angekuuliza "kwa nini unaniwazia hivyo?" au "kwani nimekukosea nini hadi utake kuni...." tabia hiyo ilishangaza wengi.

Hayo na mengine mengi yalinipelekea kumchunguza ndipo nilipomgundua hakuwa mtu wa kawaida!

Alipogundua kuwa nishamgundua aliniambia mambo mengi sana ya ajabu na ya kutisha kwa angalizo nisimwambie mtu yoyote, la sivyo ningekutwa ya kunikuta!

Niliamua kukaa kimya, hatimaye nikamsihi anifundishe 'manjonjo' yake, akakubali kwa sharti lilelile la kumsetiri. Tulianza kufanya mazoezi kila siku za j.4 na alhamis mida ya saa 2 - 5 na kuanzia saa 5 - 9 usiku tulikuwa tunaenda 'field'!

Tulipomaliza chuo kila mmoja akashika njia yake, akarudi kwao Japan nikaenda kufanya kazi Colombia. Hata hivyo tulikuwa tukiwasiliana mara kwa mara, mara mie nimfuate Japan au yeye anifuate Colombia. Tulikuwa tunapaa zetu kila tulipotaka kutembeleana.

Niliporudi Tanzania mwaka 2010 niliishi maisha hayo hayo ya kupaa, kupotea ghafla (disappear), kusense mind za watu, kujihudhurisha katikati ya watu bila wao kunitambua, kulala na wanawake ofsn bila wao kujua iwe ucku au mchana, kusema mawazo ya mke wangu nk.

Maisha haya yamenikosesha raha sana kwa sababu nakosa kampani ya watu, ndg na jamaa wananiogopa, nikifika mahali watu wanakaa kimya au wanatawanyika, mke wangu wa kwanza amenikimbia, Wateja kwenye biashara zangu wanapungua kila mara, sipati kabisa ucngz kwa sababu nikipanda tu kitandani nasafiri angani kwenda nchi mbalimbali na wakati mwingine napambana na nguvu pinzani au wachawi, sina hamu ya mambo ya Mungu. Na kadhalika!

Sasa nimeamua kuacha rasmi mambo haya ili nami niishi kama binadamu wa kawaida, nimjue Mungu na niendelee na ishu zangu. Pia kwa wenzangu na mie hususani mliosomea far east haya mambo si ishu kabisa, yanakosesha raha, twawezayaacha.
Nasisitiza,

SITAKI TENA KUPAA!!!!! TRIPLE H usihuzunishwe na kukatishwa tamaa na watu ambao hajawahi kukutana na hizo hali, binafsi kuna habari zangu binafsi huwa nasita kuziweka hapa lakini ningependa mno nijifunze toka kwako jinsi ya kupaa, nilifika hatua fulani lakini nikaacha NINGEPENDA KUJIFUNZA SASA
 
Last edited by a moderator:
Kuna Watu Wanatoa Mbinu Humu Jukwaa La Intelligence. . Ndo hizi hizi unazoziongea Au... TRIPLE H
 
Last edited by a moderator:

Nashukuru Kwa Kunipitisha Hapa Lakini Hii Alietoa Haina Mashiko Kuwa Itakupa Mtu Uwazi Kwamba Alieongea Huyu, Yeyote Anaweza Kuyasema Kwa Kutunga Ubongoni Kwa Muda Mfupi Je Umeona Sehemu Kasema Alijifunzaje? Aliwezaje!? Alipitia Hatua Zipi?
alipata faida gani? alipata hasara gani!? alikutana na nani!? ningechangia lakini imekaa tenge labda wenzangu hapo lakini mimi naona ni kama script tu imetengenezwa kupima je, itapokelewaje!? ni sawa na wewe utokee useme "Nilifundishwa Na Bibi Kuwanga Siwangi Tena"? wewe alikufundishaje? toka nimeanza kujifunza sijawahi kuskia mtu ana psychic power ya kujipoteza mwili na kurudia zaidi ya kuona movies tu za kufikirika... dissapear ni uchawi na uchawi uliowazi kama alikufundisha ulozi hapo sawa....

Msiamini Amini Ya Kusikia Practice Mwenyewe Uone Is This True? na ukiweza kupotea na kutokea basi jua umewanga tayari......


sijui wewe unalitizamaje hili MziziMkavu mshana jr nduki Pasco


"Rakims"
 
Last edited by a moderator:
usihuzunishwe na kukatishwa tamaa na watu ambao hajawahi kukutana na hizo hali, binafsi kuna habari zangu binafsi huwa nasita kuziweka hapa lakini ningependa mno nijifunze toka kwako jinsi ya kupaa, nilifika hatua fulani lakini nikaacha NINGEPENDA KUJIFUNZA SASA

Duuuh huu kweli ndo UBINADAMU.. ingawa Jamaa Anataka Kuacha Wewe wataka Kupaa...

Na Madhara Hayoo huogopi ndugu
 
Nashukuru Kwa Kunipitisha Hapa Lakini Hii Alietoa Haina Mashiko Kuwa Itakupa Mtu Uwazi Kwamba Alieongea Huyu, Yeyote Anaweza Kuyasema Kwa Kutunga Ubongoni Kwa Muda Mfupi Je Umeona Sehemu Kasema Alijifunzaje? Aliwezaje!? Alipitia Hatua Zipi?
alipata faida gani? alipata hasara gani!? alikutana na nani!? ningechangia lakini imekaa tenge labda wenzangu hapo lakini mimi naona ni kama script tu imetengenezwa kupima je, itapokelewaje!? ni sawa na wewe utokee useme "Nilifundishwa Na Bibi Kuwanga Siwangi Tena"? wewe alikufundishaje? toka nimeanza kujifunza sijawahi kuskia mtu ana psychic power ya kujipoteza mwili na kurudia zaidi ya kuona movies tu za kufikirika... dissapear ni uchawi na uchawi uliowazi kama alikufundisha ulozi hapo sawa....

Msiamini Amini Ya Kusikia Practice Mwenyewe Uone Is This True? na ukiweza kupotea na kutokea basi jua umewanga tayari......


sijui wewe unalitizamaje hili MziziMkavu mshana jr nduki Pasco


"Rakims"
Rakims ni kweli kuna loose ends nyingi kwenye post ya TRIPLE H lakini, bado kuna mengi si ya kupuuza, labda niseme kwamba alibase zaidi kwenye kuelezea kilichotokea na hapo nyuma na hakutaka kuweka details za nini kufanyike mtu aweze kupaa, labda kwa hitaji la jukwaa anaweza kuja na hili sasa
Kuna hii story labda niisimulie Leo
Miaka hiyohiyo ya tisini nilipata rafiki aliyekuwa na hizi 'supernatural powers!' Alikuwa ananichukua halafu tunakaa pale ubungo lilipo kanisa la Gwajima kwa sasa, pale kuna kimlima hivyo tukikaa pale tunaiangalia barabara kwa chini jamaa alicheza na akili za watu mno
Ilikuwa hivi anatulia kimya anaconcentrate kisha ananyoosha kidole kwa mhusika basi inakuwa kama remote anampeleka mbele au kumrudisha yani kama kumzuzua vile
Hakutaka kuniambia hasa nini kilikuwa kinafanyika lakini alinipa hamasa kubwa mno kujifunza hii elimu
 
Last edited by a moderator:
Wadau salaam,

Nataka kushirikisha uzoefu wangu kidogo kuhusu haya masuala ya kupaa angani usiku na hata mchana. Faida na hata hasara zake!

Nilibahatika kuishi na mjapani mmoja jina lake Yokho Zim nchini Canada. Huyu mtu alikuwa mpole na mstaarabu sana. Alipendwa na kila mtu miaka hiyo ya '90 wakati tunasoma chuo kimoja jijini Ontario. Kwa kuwa nilikuwa mtu ninayejiweza kimasomo alishawishika kuambatana nami kila mahali na hapo ndipo nilipoanza kuichunguza mienendo yake.

Kama angeamua kukaa kimya hata iweje asemi na mtu. Aidha kama ingetokea nikamwacha mji mwingine kama Saskatchewan au Fort hills nilikuwa nashangaa kukuta ashanitangulia kufika chuoni. Angelala kumuamsha haikuwa rahisi labda aamke mwenyewe. Ungemwazia vibaya angekuuliza "kwa nini unaniwazia hivyo?" au "kwani nimekukosea nini hadi utake kuni...." tabia hiyo ilishangaza wengi.

Hayo na mengine mengi yalinipelekea kumchunguza ndipo nilipomgundua hakuwa mtu wa kawaida!

Alipogundua kuwa nishamgundua aliniambia mambo mengi sana ya ajabu na ya kutisha kwa angalizo nisimwambie mtu yoyote, la sivyo ningekutwa ya kunikuta!

Niliamua kukaa kimya, hatimaye nikamsihi anifundishe 'manjonjo' yake, akakubali kwa sharti lilelile la kumsetiri. Tulianza kufanya mazoezi kila siku za j.4 na alhamis mida ya saa 2 - 5 na kuanzia saa 5 - 9 usiku tulikuwa tunaenda 'field'!

Tulipomaliza chuo kila mmoja akashika njia yake, akarudi kwao Japan nikaenda kufanya kazi Colombia. Hata hivyo tulikuwa tukiwasiliana mara kwa mara, mara mie nimfuate Japan au yeye anifuate Colombia. Tulikuwa tunapaa zetu kila tulipotaka kutembeleana.

Niliporudi Tanzania mwaka 2010 niliishi maisha hayo hayo ya kupaa, kupotea ghafla (disappear), kusense mind za watu, kujihudhurisha katikati ya watu bila wao kunitambua, kulala na wanawake ofsn bila wao kujua iwe ucku au mchana, kusema mawazo ya mke wangu nk.

Maisha haya yamenikosesha raha sana kwa sababu nakosa kampani ya watu, ndg na jamaa wananiogopa, nikifika mahali watu wanakaa kimya au wanatawanyika, mke wangu wa kwanza amenikimbia, Wateja kwenye biashara zangu wanapungua kila mara, sipati kabisa ucngz kwa sababu nikipanda tu kitandani nasafiri angani kwenda nchi mbalimbali na wakati mwingine napambana na nguvu pinzani au wachawi, sina hamu ya mambo ya Mungu. Na kadhalika!

Sasa nimeamua kuacha rasmi mambo haya ili nami niishi kama binadamu wa kawaida, nimjue Mungu na niendelee na ishu zangu. Pia kwa wenzangu na mie hususani mliosomea far east haya mambo si ishu kabisa, yanakosesha raha, twawezayaacha.
Nasisitiza,

SITAKI TENA KUPAA!!!!! TRIPLE H usihuzunishwe na kukatishwa tamaa na watu ambao hajawahi kukutana na hizo hali, binafsi kuna habari zangu binafsi huwa nasita kuziweka hapa lakini ningependa mno nijifunze toka kwako jinsi ya kupaa, nilifika hatua fulani lakini nikaacha NINGEPENDA KUJIFUNZA SASA

mkuu samahan kdogo ,,hv waweza nielekeze japo kdogo na mie jinsi ya kupaa mkuu
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom