Power G
JF-Expert Member
- Apr 20, 2011
- 3,886
- 1,193
Kuna mabinti ambao mwisho wa mwezi ninapoamua kwenda kujipongeza kwa moja moto na moja baridi huwa wananizengea zengea mezani. Nikiwakaribisha wanaanza kuniita majina ya ajabu; mara 'honey', mara 'baby'. Mimi Jsaudi bado miezi 2 nistaafu kwa mujibu wa sheria (miaka 60), leo hii mtu anataka kunitapeli kwa kuniita 'baby'!! Ulishamuona baby gani ana wajukuu?? Naomba wanikome na wasindwe kwa jina la Yesu.