Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
Bado natafakari neno...
Annina
Unatafakari.??My God!! it means watu washapita?
Bado natafakari neno...
Annina
Unatafakari.??My God!! it means watu washapita?
Natafakari suala la wewe kuwa single na kutotumia lina ya simu... mimi nimeshasema no kwa herufi kubwa kwa tigo and the like. hope kampeni zitaendelea, tatizo nyani huimbi zile nyimbo za kampeni sijui kwanini?
Asante sana,
Annina
Natafakari suala la wewe kuwa single na kutotumia lina ya simu... mimi nimeshasema no kwa herufi kubwa kwa tigo and the like. hope kampeni zitaendelea, tatizo nyani huimbi zile nyimbo za kampeni sijui kwanini?
Asante sana,
Annina
Hilo nalo neno!!sijamkana Lizy niko pamoja naye.hope unatupata fresh.mi npo single then sijawahi test line ya sim na sitaki hope line yako haijatestiwa.
.....Hiyo twakimu ya wanawake wasomi wasioolewa huwezi kuingia shost, kuna wasomi wanaume wanatafuta wasomi wenzao wanawake. So don't worry about that!!
Cha msingi usiwe na maringo na usomi wako.
mwanamke mkamilifu hawezi kukosa angalau sifa mbili kati ya hizo ulizotaja
that's my gal......!CHEERSAsante Nyani, kwa sasa nafanya "review" ya proposal ya Geoff ya kudumisha nae MILA! tarehe 13 bado... Jina lako pia linanitisha, nitaweza utawala wa manyani kweli wa kila mmoja kudandia mti anaoupenda???
Asante sana,
Annina
...annina yupo sahihi jamani.Samahani kidogo..kuuliza sio ujinga siajabu sijaelewa upo kwenye point gani...Check hapo nilipo weka alama nyekundu...??Nadhanii mkuu Geoff karibu anataka kupata jiko then unasema kwamba unaweza kuwa mtarajiwa,una maanisha nini hapo?Sorry kwa hili swali!!!
USIISHIWE NGUVU MPENZI!muda unaruhusu.....Mimi ni msomi, sijaolewa (nipo kwa mchakato na Geoff wa kudumisha MILA..., lakini nasikia kuna deadline ya tar 13 ndio naishiwa nguvu kabisa)yaliyobaki simo! Umenisoma Lizy?
Annina
...annina yupo sahihi jamani.
naomba mumuache afikirie proposal yangu jamani
KUPENDWA NDIO HUKU,KUPENDWA KUTHAMINIWA
.......mbona mnampandikiza sumu annina jamani?....Annina sasa unachanganya habari, hapa 3.Wanawake wanaotoka nje ya ndoa zao : Kumbe ni ruksa kuwa Mwanamke unayeenda kwenye ndoa za wenzako/ cause Geoff ni Mume wa mtu mtarajiwa, unless ww ndo Bibi harusi mtarajiwa wa Geoff, vinginevyo Shosti mh....... Kazi ipo
si unaona mwenyewe?ahahhaha bahati mwanamume weee yaani unapendwa tu hata ukiwa umetangaza msimamo!!! mila eh??
You better Pray very hard.Kwa kufunga na kuomba
And gud luck!
He!.................?ahahhaha bahati mwanamume weee yaani unapendwa tu hata ukiwa umetangaza msimamo!!! mila eh??
ZD umepotelea wapi we ama 2010 imekuja kwa vishindo??? hapi nu jaar!