cheusimangala
JF-Expert Member
- Feb 27, 2010
- 2,585
- 497
kuoa wake wengi ni roho mbaya za baadhi ya wanaume sbb wanakua wanapuuzia kuwa mke wa kwanza anakua ktk maumivu makali ya moyo kuona kipenzi chake kikiwa si chake peke yake.
Hakuna mwanamke anayefurahia kuletewa mwanamke mwenzake hivyo kumuomba sijui akubali mi naona ni kama kumpa tu taarifa kuwa sasa wewe ni mavi ya kale hunifai tena nataka kuleta chombo kipya chenye mvuto zaidi jambo ambalo ni kama kisu ktk moyo wa mwanamke.
Mara nyingi mke wa kwanza anakua pale kama symbol tu lkn mapenzi yote yanahamia kwa mke mdogo huku mke mkubwa akishuhudia yote haya na kuishia kushukuru mungu kwa unyonge.
Nyie wanaume mnaofanya hivi mna roho mbaya sana,hebu jiulize ingekuwa dini imeruhusu mkeo akuletee wanaume wenzio halafu wewe unabaki upo upo tu huku ukishuhudia mapenzi yote yakihamia kwa mume mdogo mngeweza kuvumilia na kuhimili hayo maumivu yake.Jiulize kwanza ww ukiletewa mume mwenzio iwapo dini ingekua inaruhusu vipi ingekua tamu au chungu.
Hakuna mwanamke anayefurahia kuletewa mwanamke mwenzake hivyo kumuomba sijui akubali mi naona ni kama kumpa tu taarifa kuwa sasa wewe ni mavi ya kale hunifai tena nataka kuleta chombo kipya chenye mvuto zaidi jambo ambalo ni kama kisu ktk moyo wa mwanamke.
Mara nyingi mke wa kwanza anakua pale kama symbol tu lkn mapenzi yote yanahamia kwa mke mdogo huku mke mkubwa akishuhudia yote haya na kuishia kushukuru mungu kwa unyonge.
Nyie wanaume mnaofanya hivi mna roho mbaya sana,hebu jiulize ingekuwa dini imeruhusu mkeo akuletee wanaume wenzio halafu wewe unabaki upo upo tu huku ukishuhudia mapenzi yote yakihamia kwa mume mdogo mngeweza kuvumilia na kuhimili hayo maumivu yake.Jiulize kwanza ww ukiletewa mume mwenzio iwapo dini ingekua inaruhusu vipi ingekua tamu au chungu.