- Thread starter
- #61
Khasante sana best Kaizer kwa ushauri wako nitaufuata..Pole sana Ringopet. Naelewa umeumia kiasi gani hisia zako haijalishi umri wako cos kama
Umeshafanya kazi maana yakr umeshakomaa.
Haupo peke yako wengi wetu tumepitia huko huko na bado maisha yanaendelea.
Ila safari hii jitahido umsahau na maisha yataendelea menhine utayapata tu. Jifanye umetoa sadaka na sadaka ni jambo jema utapata thawabu hapa
Na mbinguni. Kazi ni kwake
Kuwa makini manake soon utapata kazi uwe na vijihela utamwona huyo anajirudisha na samahani nyingi.
Hapo ndo itabidi uact kiume usikubali akuumize tena. Utampata mwingine anayekupenda kwa dhati