Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,320
- 17,822
jichekee mwaya shemeji! wana balaa nakwambia, wakikukuta mpole, cku ya kwanza anataka cku hiyo hiyo ajue veins zako nyingi zinaanzia wapi, na zinaishia wapi! lol!
hahah wana tabia mbaya....lol
jichekee mwaya shemeji! wana balaa nakwambia, wakikukuta mpole, cku ya kwanza anataka cku hiyo hiyo ajue veins zako nyingi zinaanzia wapi, na zinaishia wapi! lol!
Sitaki kupenda tenaaa...
Nampenz wangu ambaye nilitokea kumpenda sana tena zaid ya sana na mapenz yetu yalianza kama hivi,Nilipo kuwa secondary niliamua kuomba niende mkoa kilmnjr..kwa mara yakwanza kumsalimia bibi ndipo pita pita zangu nikakutana na mpenz wangu ambaye yeye ndiyo kwao nilitokea kumpenda sana na nikamtongoza bt jibu lake aliniambia anampenz natulipotezana mm nilirudi Dar yeye akabaki..
Miaka ikaenda nakwakusema ukweli tokea nilivyo kuwa mdogo nilipenda kazi mbili ya uwanajeshi na upradi so kama unavyo jua upradi hauruhusu mahusiano wakimapenz hivyo basi mpenz wangu alikuwa msichana ambaye niwakwanza kusikia hamuyakufanya mapenz naye.Nilibaatika kusoma chuo na kumaliza na kwavile najuana na watu nikapata kazi kwenye taasisi moja la habari kubwa linaandika habari za siasa maisha yakaendelea kwangu kuwa yafuraha na amani..
Miaka kama minne iliyopita mpenz wangu akaamia karibu na hom Dar alikuwa anakaa kwakaka yake alipanga nilipo muona nilifurah sana nakukumbushana mambo yamkoani nilipo mgusia kama msimamo wake umebadilika akaniambia bado basi tukawa marafiki wakushauriana vitu kama mambo ya masomo yeye alikuwa anarudia mtihani wa form4...
Kunasiku moja akanipigia simu nakuniambia anamaongezi na mm kwavile alikuwa na Best nilienda kumsikiliza akaniambia amemfumania mpenz wake live na mwanamke mwingine gest nilimfariji nakumpa maneno yafaraja kama frnd yangu maamuzi yake yalikuwa kuachana nampenz wake na nakatika maongez yake jamaa yake hajawahi kula tunda na yeye nibikira ndiyo sababu ya yeyejamaa yake kutoka na msichana mwingine kimapenz na alikuwa mtu wawapenz weng kama unavyo jua yeye alimchukulia kama dem wakuzugia tu!!.
ikapita kama miez mi5 hivi akaniambia anamaongezi na mm katika uonana naye akaniambia amenikubalia ombi langu na amekaa nakufikili sana ameona mimi nafaa kuwa mpenz wake mpya kwa vigezo vingi cha kwanza mpaka mda huo nilikuwa sina mpenz na mm nikamkubalia naakawa mpenz wangu wakwanza maisha yakaendelea...
mpenz wangu alikuwa anasoma chuo kimoja kikubwa tu!na ada alikuwa analipiwa kidogo kidogo mzaz wake alikuwa hanauwezo basi nikaamua kuwa namsaidia hela yakulipa chuo naatakayo pewa na mzaz wake iweyakujikimu nanikawa na majukumu kama nimeoa vile na chakushangaza katika mapenz yetu sijawahi hata kumkiss ukitaka kufanya hivyo anabadilika na mnaweza kugombana nami nikaamua kuwa mpole kwa vile nampenda tumedumu katika mapenz huu mwaka wa pili bila sex wala kiss..
anatabia yakugombana gombana hadi kufikia hatua ya kuvunja uhusiano hasa usipompa kitu alicho kuomba umnunuliye nimevumilia natabia hiyo kwa vile nilikuwa nafanya kazi na niliona nimoja yamajukumu ya mpenz...
Sahivi nimeamua kujiendeleza kielimu nakwavile masomo yanaanza hasubui nikaamua kuacha kazi so sina hela juz anataka nimnunu liyeblackberry{BB} hela sina na akiniomba hela hata ya vocha sina basi ameamua kuniandikia hivi 'NAOMBA MAPENZ YETU YAISHIYE HAPA SITAKI MASWALI WALA USUMBUFU WAKUPIGA SIMU'
nimejaribu kumpigia simu hapokei n txt hajibu Daah!Kweli Mapenz hayana mradi Poleni kwa kukuchosa niayangu nikukuelimisha yasije yakakutokea yaliyo nitokea mm coz sijaambulia hata kiss na nilitumika sana...
NB:KAMA HUNA MALENGO NA MTU ULIYEKUWA NAYE KWENYE UHUSIANO NIBORA UKAMWAMBIA KULIKO KUCHEZEA HISIA ZAMTU.
Sitaki kupenda tenaaa...
Nampenz wangu ambaye nilitokea kumpenda sana tena zaid ya sana na mapenz yetu yalianza kama hivi,Nilipo kuwa secondary niliamua kuomba niende mkoa kilmnjr..kwa mara yakwanza kumsalimia bibi ndipo pita pita zangu nikakutana na mpenz wangu ambaye yeye ndiyo kwao nilitokea kumpenda sana na nikamtongoza bt jibu lake aliniambia anampenz natulipotezana mm nilirudi Dar yeye akabaki..
Miaka ikaenda nakwakusema ukweli tokea nilivyo kuwa mdogo nilipenda kazi mbili ya uwanajeshi na upradi so kama unavyo jua upradi hauruhusu mahusiano wakimapenz hivyo basi mpenz wangu alikuwa msichana ambaye niwakwanza kusikia hamuyakufanya mapenz naye.Nilibaatika kusoma chuo na kumaliza na kwavile najuana na watu nikapata kazi kwenye taasisi moja la habari kubwa linaandika habari za siasa maisha yakaendelea kwangu kuwa yafuraha na amani..
Miaka kama minne iliyopita mpenz wangu akaamia karibu na hom Dar alikuwa anakaa kwakaka yake alipanga nilipo muona nilifurah sana nakukumbushana mambo yamkoani nilipo mgusia kama msimamo wake umebadilika akaniambia bado basi tukawa marafiki wakushauriana vitu kama mambo ya masomo yeye alikuwa anarudia mtihani wa form4...
Kunasiku moja akanipigia simu nakuniambia anamaongezi na mm kwavile alikuwa na Best nilienda kumsikiliza akaniambia amemfumania mpenz wake live na mwanamke mwingine gest nilimfariji nakumpa maneno yafaraja kama frnd yangu maamuzi yake yalikuwa kuachana nampenz wake na nakatika maongez yake jamaa yake hajawahi kula tunda na yeye nibikira ndiyo sababu ya yeyejamaa yake kutoka na msichana mwingine kimapenz na alikuwa mtu wawapenz weng kama unavyo jua yeye alimchukulia kama dem wakuzugia tu!!.
ikapita kama miez mi5 hivi akaniambia anamaongezi na mm katika uonana naye akaniambia amenikubalia ombi langu na amekaa nakufikili sana ameona mimi nafaa kuwa mpenz wake mpya kwa vigezo vingi cha kwanza mpaka mda huo nilikuwa sina mpenz na mm nikamkubalia naakawa mpenz wangu wakwanza maisha yakaendelea...
mpenz wangu alikuwa anasoma chuo kimoja kikubwa tu!na ada alikuwa analipiwa kidogo kidogo mzaz wake alikuwa hanauwezo basi nikaamua kuwa namsaidia hela yakulipa chuo naatakayo pewa na mzaz wake iweyakujikimu nanikawa na majukumu kama nimeoa vile na chakushangaza katika mapenz yetu sijawahi hata kumkiss ukitaka kufanya hivyo anabadilika na mnaweza kugombana nami nikaamua kuwa mpole kwa vile nampenda tumedumu katika mapenz huu mwaka wa pili bila sex wala kiss..
anatabia yakugombana gombana hadi kufikia hatua ya kuvunja uhusiano hasa usipompa kitu alicho kuomba umnunuliye nimevumilia natabia hiyo kwa vile nilikuwa nafanya kazi na niliona nimoja yamajukumu ya mpenz...
Sahivi nimeamua kujiendeleza kielimu nakwavile masomo yanaanza hasubui nikaamua kuacha kazi so sina hela juz anataka nimnunu liyeblackberry{BB} hela sina na akiniomba hela hata ya vocha sina basi ameamua kuniandikia hivi 'NAOMBA MAPENZ YETU YAISHIYE HAPA SITAKI MASWALI WALA USUMBUFU WAKUPIGA SIMU'
nimejaribu kumpigia simu hapokei n txt hajibu Daah!Kweli Mapenz hayana mradi Poleni kwa kukuchosa niayangu nikukuelimisha yasije yakakutokea yaliyo nitokea mm coz sijaambulia hata kiss na nilitumika sana...
NB:KAMA HUNA MALENGO NA MTU ULIYEKUWA NAYE KWENYE UHUSIANO NIBORA UKAMWAMBIA KULIKO KUCHEZEA HISIA ZAMTU.
The context in your massage inaonyesha ulijiset huyo binti akufanyie hivyo. Kwa ufupi wewe ni wa kiume na siyo mwanaume.
Khasante sana..,life goes on!
Hah hah hah.... wakiume na siyo mwanaume nimeipenda mkuu, na akiweza kuielewa tafsiri yake baaaaaasssss.....
Naomba ushauri wako tafathali...i find this story very childish and funny at the same time..
ama kwa hakika kweli kuna wanaume na watoto wa kiume..
Khasante sana na kwasasa sitakuja kumwamini msichana hata anifanyie nn? nimejufunza na inauma sanaaa@Emma.Pole sana best usijihukumu penda panapopendeka kumpenda mwanamke asiyekupenda ni sawa kupoteza muda umevumilia hata kiss hujaambulia umejitesa bure huyo alikuwa tapel angekufilisi taken care na hawa vijidudu wanawake
siku shikwa masikio nilikuwa na mpenda na kama unaupendo waukweli hutataka kumuuzi mpenz wako na ukisha zingatia ananiambia yeye ni bikira@kalou.dah pole sana,2yrs hata kuchumu hataki,kwel na wewe ulishikwa masikio na huyo demu
Sitaki kupenda tenaaa...
Nampenz wangu ambaye nilitokea kumpenda sana tena zaid ya sana na mapenz yetu yalianza kama hivi,Nilipo kuwa secondary niliamua kuomba niende mkoa kilmnjr..kwa mara yakwanza kumsalimia bibi ndipo pita pita zangu nikakutana na mpenz wangu ambaye yeye ndiyo kwao nilitokea kumpenda sana na nikamtongoza bt jibu lake aliniambia anampenz natulipotezana mm nilirudi Dar yeye akabaki..
Miaka ikaenda nakwakusema ukweli tokea nilivyo kuwa mdogo nilipenda kazi mbili ya uwanajeshi na upradi so kama unavyo jua upradi hauruhusu mahusiano wakimapenz hivyo basi mpenz wangu alikuwa msichana ambaye niwakwanza kusikia hamuyakufanya mapenz naye.Nilibaatika kusoma chuo na kumaliza na kwavile najuana na watu nikapata kazi kwenye taasisi moja la habari kubwa linaandika habari za siasa maisha yakaendelea kwangu kuwa yafuraha na amani..
Miaka kama minne iliyopita mpenz wangu akaamia karibu na hom Dar alikuwa anakaa kwakaka yake alipanga nilipo muona nilifurah sana nakukumbushana mambo yamkoani nilipo mgusia kama msimamo wake umebadilika akaniambia bado basi tukawa marafiki wakushauriana vitu kama mambo ya masomo yeye alikuwa anarudia mtihani wa form4...
Kunasiku moja akanipigia simu nakuniambia anamaongezi na mm kwavile alikuwa na Best nilienda kumsikiliza akaniambia amemfumania mpenz wake live na mwanamke mwingine gest nilimfariji nakumpa maneno yafaraja kama frnd yangu maamuzi yake yalikuwa kuachana nampenz wake na nakatika maongez yake jamaa yake hajawahi kula tunda na yeye nibikira ndiyo sababu ya yeyejamaa yake kutoka na msichana mwingine kimapenz na alikuwa mtu wawapenz weng kama unavyo jua yeye alimchukulia kama dem wakuzugia tu!!.
ikapita kama miez mi5 hivi akaniambia anamaongezi na mm katika uonana naye akaniambia amenikubalia ombi langu na amekaa nakufikili sana ameona mimi nafaa kuwa mpenz wake mpya kwa vigezo vingi cha kwanza mpaka mda huo nilikuwa sina mpenz na mm nikamkubalia naakawa mpenz wangu wakwanza maisha yakaendelea...
mpenz wangu alikuwa anasoma chuo kimoja kikubwa tu!na ada alikuwa analipiwa kidogo kidogo mzaz wake alikuwa hanauwezo basi nikaamua kuwa namsaidia hela yakulipa chuo naatakayo pewa na mzaz wake iweyakujikimu nanikawa na majukumu kama nimeoa vile na chakushangaza katika mapenz yetu sijawahi hata kumkiss ukitaka kufanya hivyo anabadilika na mnaweza kugombana nami nikaamua kuwa mpole kwa vile nampenda tumedumu katika mapenz huu mwaka wa pili bila sex wala kiss..
anatabia yakugombana gombana hadi kufikia hatua ya kuvunja uhusiano hasa usipompa kitu alicho kuomba umnunuliye nimevumilia natabia hiyo kwa vile nilikuwa nafanya kazi na niliona nimoja yamajukumu ya mpenz...
Sahivi nimeamua kujiendeleza kielimu nakwavile masomo yanaanza hasubui nikaamua kuacha kazi so sina hela juz anataka nimnunu liyeblackberry{BB} hela sina na akiniomba hela hata ya vocha sina basi ameamua kuniandikia hivi 'NAOMBA MAPENZ YETU YAISHIYE HAPA SITAKI MASWALI WALA USUMBUFU WAKUPIGA SIMU'
nimejaribu kumpigia simu hapokei n txt hajibu Daah!Kweli Mapenz hayana mradi Poleni kwa kukuchosa niayangu nikukuelimisha yasije yakakutokea yaliyo nitokea mm coz sijaambulia hata kiss na nilitumika sana...
NB:KAMA HUNA MALENGO NA MTU ULIYEKUWA NAYE KWENYE UHUSIANO NIBORA UKAMWAMBIA KULIKO KUCHEZEA HISIA ZAMTU.