HUKU MWANAKIJIJI,KUBENEA na wanaharakati wengine wakijitahidi kuhakikisha ufisadi unapungua, kumbe mambo tofauti kabisa
gazeti la Chama cha CDM kilichoapa kumbana na mafisadi linakuwa mstari wa mbele kuwatetea? lipo tayari kuangamiza familia ya rais lkn wakiwatetea wanaoujulikana na watz wengi. msimamo huu unanifanya nikichukie Chadema huku viongozi wake wakikaa kimya
linakuwa mstari wa mbele kumchafua rais wa nchi ilimradi muhariri anafanikisha malengo yake binafsi ya kuwatetea akina EL,RA na wengine ambao tayari CDM wanaona ni hatari kwa taifa letu.
Watz wengi wanaamini vyombo vya habari, ndio maana wengi tunaamini msimamo wa CDM kuhusu ufiadi ni kiini macho tu. sina haja ya kujiuna na CDM Hii chini ya mwenyekiti mbowe, katibu slaa, naibu Zito.
SITOJIUNGA NA CHADEMA NA KUINGAMIZA NCHI YANGU
Baba badili jina huna haja ya kujiita Mzee wa Hoja nafikiri unatakiwa tukuite KICHANGA CHA HOJA! kajipange upya we babu!
Cha kushangaza Gazeti tukufu la Chadema, Tanzania Daima linanatetea mafisadi wa CCM
hii ni hatari ikiwa kibanda anatumia kalamu yake vibaya huku cdm ya mbowe ikikenga meno na kucheklea, sitaki kuona tz ikikkupmbwa na vita kwa sababu ya wachache
unajua umiliki wa gazeti la tzdaima au unaongea tu! Ni kama vilaza wa ccm wanahisi kila mpiga ufisadi ni cdm.
HUKU MWANAKIJIJI, KUBENEA na wanaharakati wengine wakijitahidi kuhakikisha ufisadi unapungua, kumbe mambo tofauti kabisa.
Gazeti la Chama cha CDM kilichoapa kupambana na mafisadi linakuwa mstari wa mbele kuwatetea?
Lipo tayari kuangamiza familia ya rais lkn wakiwatetea wanaoujulikana na watz wengi. Msimamo huu unanifanya nikichukie Chadema huku viongozi wake wakikaa kimya.
Linakuwa mstari wa mbele kumchafua rais wa nchi ilimradi muhariri anafanikisha malengo yake binafsi ya kuwatetea akina EL,RA na wengine ambao tayari CDM wanaona ni hatari kwa taifa letu.
Watz wengi wanaamini vyombo vya habari, ndio maana wengi tunaamini msimamo wa CDM kuhusu ufisadi ni kiini macho tu. Sina haja ya kujiunga na CDM hii chini ya mwenyekiti Mbowe, katibu Slaa, naibu Zitto.
SITOJIUNGA NA CHADEMA NA KUINGAMIZA NCHI YANGU