cheusimangala
JF-Expert Member
- Feb 27, 2010
- 2,585
- 497
From michuzi jr!
Hizi skuli zetu jamani
Pakajimmy hivi kuchangia madawati ni kazi ya wazazi au?
Hizi skuli zetu jamani
Pakajimmy hivi kuchangia madawati ni kazi ya wazazi au?
Wakuu hilo tatizo basi serikali yetu inashindwa kwanini? wakati watoto wao wanasoma shule nzuri kuliko hiyo shule wanayo kaa chini hao wanafunzi?hayo ni matatizo ya Viongozi wetu waache mambo ya ufisadi nchi yetu itaendelea ni kitendo cha aibu kwa serikali kushindwa hata madawati kuwapatia watoto wa shule Ehhh tutafika kweli jamani tuendako?Ndio maaaanake serikali ilisema tugawane umaskini kwa kila upande kuchangia hadi universities!!!
Kimsingi ni kazi ya serikali, lakini wakati tunaisubiri serikali(sijui kwa muda gani!) ni lazima wazazi wajishughulishe!
Yap..mwendo wa shule hiyo ni huo...kama usipoleta dawati unakaa chini!
Lakini wazazi wa watoto hawa ni aina gani, maana watoto wamevaa vizuri sana, wanashindwa nini kuchangia madawati?
Hiyo shule itakuwa ni ya Tanzania, kwani mpiga picha anatupatia shule ya Malawi (ambayo ni mbaya) ili tujifunze nini, anataka tujifunze UBAYA?kwani hiyo shule ni ya wapi? isije aibu za Malawi unapazia Tz, oooh!
Kimsingi ni kazi ya serikali, lakini wakati tunaisubiri serikali(sijui kwa muda gani!) ni lazima wazazi wajishughulishe!
Cheusi hata ukisema, utaumiza koo lako bure.
Mi huwa nikiona hali kama hiyo najifungia ndani alafu nafanya ibada baalum ya kuwalaani viongozi wabinafsi na mafisadi.
kwani hiyo shule ni ya wapi? isije aibu za Malawi unapazia Tz, oooh!