ngoshaboy
JF-Expert Member
- Apr 15, 2013
- 231
- 193
Ndugu zangu watanzania,
Kutokana na fikira zangu mwenyewe nimeamua kuwa sitatitia wito wa chama changu kuandamana September 1, na hii ni kutokana na kwamba je nikikamatwa na police nani ataniwekea dhamana? Pili familia yangu huko uraiani itaiishije na maisha haya ya supana mkononi na mimi ndo jembe la familia?
Kutokana na fikira zangu mwenyewe nimeamua kuwa sitatitia wito wa chama changu kuandamana September 1, na hii ni kutokana na kwamba je nikikamatwa na police nani ataniwekea dhamana? Pili familia yangu huko uraiani itaiishije na maisha haya ya supana mkononi na mimi ndo jembe la familia?