bitimkongwe
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 7,334
- 6,718
Re: your title
Hata mama yako nayeye hupiga mizinga kwa wengine. Au ulitaka akushirikishe?
Hata mama yako nayeye hupiga mizinga kwa wengine. Au ulitaka akushirikishe?
Pole sana kaka first approach huwa inawasumbua sana watu kwenye uhusiano.
Pole sana,
Kwa namna ulivomuingia huyo mdada naye kakupokea kwa style hiyo hiyo,
Jaribu kumjua mtu kwanza na kupata uhakika wa kuwa nae,bila kujionesha km unazo na ni mtoaji ndio uanze kumwaga mihuduna!
Jamani mineno inakutoka kama umemuandikia nyumba,kumbe kisimu au ulikua huna pesa ya keki ndio mana ukasusa?
kwani ulipokua ukitoa pesa ulimwambia kua nakupa ili ujeunivulie nguo? kua mstarabu ......
Asa mkuu,we ulvomuita shetani,ulitegemea ye akuite mungu?mkuki kwa nguruwe eee!
Si binti ni wa katikati ya jiji? ulitegemea nini.
mimi mtoto wa mjini amekula kama laki moja na kidogo lakini cha moto alikipata
ID ya DOOKI inawakilisha Mwanamke. au ulitaka akusage, au ulitaka umsage yeye?
Mods!
Pelekeni hii habari MMU inatuchefua hapa
Hujambo wewe?
ndio hapo mabinti hua siwaelewi, siku ya pasaka nilikutana na mabinti walikua wanaenda Club tukawabeba walikuwa ni wanafunzi wa chuo, kufika pale Club nikawalipia wote kiingilio mimi nikabaki nje kuna sehemu nikawa napiga Lager zangu wao wakaingia ndani, binti mmoja akomba namba yangu kweli mtoto mzuri ana sifa zote na alikuwa bomba ile mbaya, nikampa namba yangu baada ya muda kidogo nikaingia mle ndani nikamkuta anakunywa nikamuongezea castle rite kama 3 hivi akalewa taabani, baadae alfajiri tukawarudisha kwao, kesho yake mchana akanipigia nikaongea nae mazungumzo kawaida tu, jumanne ya pasaka akasema ilikuwa ni birthday yake kwa "yeye alivyosema" nikamwambia poa nitakutoa, akasema yuko na marafiki zake nikadhani wanakuja wawili wakaja wanne na yeye watano, tukaenda sehemu tukapata Bia na nyama choma then nikawarudisha, lakini nikamuuliza inakuaje mnakuja watu kibao hata kwenye gari tunakua hatutoshi? akasema rafiki zake walishapanga kutoka kwa hiyo asingeweza kuwaacha..
baada ya siku tatu akanipigia kwa namba nyingine akasema simu yake imeibiwa, nikamuuliza aina gani na inauzwa kiasi gani akaniambia aina ya simu na bei yake mpya ni 65,000.. nikamwambia poa nitakuchangia 30,000.. nikamshangaa anasema anataka kununua Nokia X3 bei yake ni Laki 3, nikamwambia kama ulikua na simu ya 65,000 mimi nitakuchangia 30,000. tu zaidi ya hapo haiwezekani... akajifanya amekeasirika nikampotezea
Siku iliyofuata akanipigia kwa namba nyingine akaniuliza niko wapi? nikamwambia nipo somewhere huwa wanauza chakula na Bia... akaja na rafiki yake pale mimi bila kujua wakaagiza chakula cha 15,000 yeye na rafiki yake pamoja na red Bull na Castle rite, nikalipa wakati tunaendelea kunywa akanitumia ujumbe ana shida na 20,000. nikamwambia kwanini hukuniambia mapema? baada ya nusu saa tena nimtumie credit, " nikamwambia credit ya nini wakati tupo face to face"
nilichofanya nikampa 20,000 nikalipa chakula na nikampa onyo next time ukiweka order bila kuniambia itakua imekula kwako nikaachana nae
muda hautoshi naishia hapa lakini mabinti ni wapuuzi tena sana ndio maana hua wanamegwa na kuachwa, Msosi, Simu, vitu ambavyo havina tija wala thamani kama utu wao....
Pole sana mkuu kwa yaliyokukuta nakushauri tulia hao mademu wa chuo hawana maana hata kidogo...
Mawazo mazuri, ila utajuaje kama huyo msichana hafai kwa uhusiano au ndoa.
Manyanza mtoto wa mjini, Swali bado lipo palepale. Mwisho wake ilikuaje?
da aisee, ndiyo zao nilienda kumona rafiki yake anaumwa, basi rafiki yake akataka juice nikajua ya kawaida, kumbe ile ya boksi kubwa kaka. da nikalipa baadaye wakataka twende somewhere note far wnapoishi wakaagiza kinywaji wote> sasa ukiwambia huna pesa c wanaweza kufungwa hawa watoto. why
basi ngoja niendelee mkuu...
Jmosi week end hii akanikuta nipo na washikaji zangu wawili tumekaa tunakunywa alikuwa na wenzake kama watano wakapigwa bia mbili mbili, demu akadai tena simu safari hii akasema hata kitochi kinamtosha, mshikaji wangu akamwambia atampa anayo mpya atampa, baada ya hapo wenzake wakaondoka zao yeye akabaki kama kawa akaanza kutia hasara, watu wakampiga maji halafu washikaji wakambeba mpaka kwenye gari, na wakaniuliza kama ni demu wangu na ninamtaka nikawaambia No'' basi wakamuingiza ndani yani ya gari alichofanywa nadhani umeshapata picha.. Baada ya hapo tukambeba mpaka Hosteli kwao tukamuacha.. Keesho yake alikuwa amefunga Khanga tu....
Me sikumuingilia lakini wahikaji kama watatu walimpiga mande...
we nae unalia lia mno ndo mana hata huyo demu alikuona zoba flani ivi!asa juice ya sh 3000 nayo ni ya kuwazia?