Sharo hiphop
JF-Expert Member
- May 17, 2011
- 660
- 99
siku moja hawa watu wawili walikuwa wakisafiri kwa usafiri wao wa gari, wakiwa njiani gari lao likaisha mafuta, mwanaume akawa na wazo la kwamba mkojo unaweza ukasaidia, basi akaanza yeye, akasimama akaelekezea mrija wake kwenye tank la mafuta na gari likakubali kuwaka, walipotembea baadhi ya kilometa gari lika zima tena, wakati huu zamu ya kutoa mkojo ilikuwa ya sista na kwa kuwa wanawake hawawezi kukojoa wakiwa wamesimama padre mwafrika akamwambia lala chini mimi nitaunyonya mkojo wako kwa kutumia mrija wangu. Sista akakubali na padre aka.............................