Kiraka Kikuu
JF-Expert Member
- Oct 3, 2011
- 5,904
- 1,976
Sister du mmoja alikwenda kwenye duka la dhahabu kujinunulia mkufu wa dhahabu.
Katika kuchagua dhahabu akajishtukia amejamba!Kwa aibu ikabidi ageuke nyuma kuona kama
kuna mtu amemuona.Kuangalia nyuma akamuona muuza duka;ikabidi ajibaraguze.Mazungumzo
yao yalikuwa hivi:
Binti:Samahani bro;hiki kidani ni bei gani vile?
Muuzaji:Kama kukiona tu kidani umejamba,sasa nikikutajia bei si
utakunya kabisa??????????!!!!!
Katika kuchagua dhahabu akajishtukia amejamba!Kwa aibu ikabidi ageuke nyuma kuona kama
kuna mtu amemuona.Kuangalia nyuma akamuona muuza duka;ikabidi ajibaraguze.Mazungumzo
yao yalikuwa hivi:
Binti:Samahani bro;hiki kidani ni bei gani vile?
Muuzaji:Kama kukiona tu kidani umejamba,sasa nikikutajia bei si
utakunya kabisa??????????!!!!!