Yo Yo
JF-Expert Member
- May 31, 2008
- 11,217
- 1,702
Tufamiane binti mzuri naomba kujua age na mahali ulipoMHH ST IVUGA MBONA LEO ...umeenda mrama babawatoto?
theme ya post ninin?
1.umepanda daladala na duu leo?
2.unajuta aukuchukua namba
3.unashangaa sista duu ata maji anaomba msaada wa kufungua?
iweje umewamisi masista duu jaman wakat unao mtaan ?
au upo ugaibuni ndo ukawamisi maduu wa bongo?