Sisiem na Serikali Imefanikiwa...

Bowbow

JF-Expert Member
Oct 20, 2007
541
31
WanaJf,

Tulikuwa tukifuatilia Afya ya aliyekuwa Gavana na kushinikiza serikali imrejeshe ili aje kuhukumiwa kwa makosa aliyoyatenda. Wakati tukifuatilia hayo sisiem na sirikali wakaunda Tume richmonduli ilivyotoa taarifa yake tukahamisha attention yetu kwa Karamagi, Lowassa et al, ilipoanza kufifia Lowassa kajiuzulu yote hayo nikufanya hoja ya EPA na mshitakiwa mkuu Balali kuendelea kujichimbia huko aliko bila kupata pressure ya kumrudisha na sirikali kuweka mikakati mingine ya kufanya hoja ififie.

Kama hiyo haitoshi soon kuna reporti ya kamati ya kupitia madini itatoka nayo itafunika maswala ya EPA. Then kamati iliyoundwa na Rais itatoa mapendekezo kwa Rais, then itaundwa kamati ingine kupitia mapendekezo hayo vyote hivyo 2008 itakuwa imeisha na yatakuja mengine.

So Je, Sisiem na sirikali imefanikiwa kutupiga danadana?
Mbona hakuna ufuatiliaji wa nini kinaendelea kuhusu Balali maana yeye ndio starling?
Je Jf nasi tumeanza kuwa mafisadi? (Hinti: kama huwezi....ungana nao)

Tukitaka ukweli wa EPA kama ilivyokuwa kwa richmonduli basi balali ndio wa kumbana atuambie yote yaliyotokea na sio kupata habari kwa hosea et al.

Nawakilisha
 
mkuu watu hawajalala, ila wanavuta pumzi kwanza. manake hizi resi na serikali ya ccm zinaweza kumtoa mtu roho.
yaani n kashfa juu ya kashfa, na kila moja imezidi mwenziwe.....:(
 
WanaJf,

Tulikuwa tukifuatilia Afya ya aliyekuwa Gavana na kushinikiza serikali imrejeshe ili aje kuhukumiwa kwa makosa aliyoyatenda. Wakati tukifuatilia hayo sisiem na sirikali wakaunda Tume richmonduli ilivyotoa taarifa yake tukahamisha attention yetu kwa Karamagi, Lowassa et al, ilipoanza kufifia Lowassa kajiuzulu yote hayo nikufanya hoja ya EPA na mshitakiwa mkuu Balali kuendelea kujichimbia huko aliko bila kupata pressure ya kumrudisha na sirikali kuweka mikakati mingine ya kufanya hoja ififie.

Kama hiyo haitoshi soon kuna reporti ya kamati ya kupitia madini itatoka nayo itafunika maswala ya EPA. Then kamati iliyoundwa na Rais itatoa mapendekezo kwa Rais, then itaundwa kamati ingine kupitia mapendekezo hayo vyote hivyo 2008 itakuwa imeisha na yatakuja mengine.

So Je, Sisiem na sirikali imefanikiwa kutupiga danadana?
Mbona hakuna ufuatiliaji wa nini kinaendelea kuhusu Balali maana yeye ndio starling?
Je Jf nasi tumeanza kuwa mafisadi? (Hinti: kama huwezi....ungana nao)

Tukitaka ukweli wa EPA kama ilivyokuwa kwa richmonduli basi balali ndio wa kumbana atuambie yote yaliyotokea na sio kupata habari kwa hosea et al.

Nawakilisha

Mkuu am sorry lakini ukweli ni kwamba hawa jamaa hawakutumia slogan ya ARI MPYA, KASI MPYA NA NGUVU MPYA bila malengo!!! Sisiem wanaonekana kuwa wajanja sana na hizi tume na timu zinazoundwa kila kukicha ni za kutufanya tuamini kuna mambo yanafanyika wakati ni 0-0!
Tuamke jamani... Balali needs to be here in Tz and put to where he belongs whether ni UKONGA, SEGEREA etc! Lakini awepo hapa nchini maana huyu jamaa haumwi hata kidogo.
Changa la macho linataka kutuingia..
 
Lunyungu na wengine uliyetupa nyepesi kujiuzulu kwa Balali mmepotelea wapi mbna hakuna jipya kuhusu wareabout ya Balali??? mmeshikishwa kidogo?

Mtanzania ulikuwa unafuatilia na hata kujua kuwepo kwa RO na hata kumtembelea Balali. Uko wapi utujulishe nani kamtembelea na kumhamisha balali alipokuwepo na kumpeleka asikojulikana?

Mwanakijiji na Kitila, mmeishia wapi na uchunguzi wa kutaka kujua alipokuwa ama tetesi za kuhamishwa alipokuwepo???

Halisi umepotea wapi na big announcement zako za Ikulu???????

List ni ndefu, Je tumeishia wapi kupata ware about the mtuhumiwa mkuu wa EPA?????

Kama ni Movie Trailer ilianza vizuri cha kusikitisha Movie imefika katikati ikiwa Starling wa movie hajaonekana kulikoni?????
 
Lunyungu na wengine uliyetupa nyepesi kujiuzulu kwa Balali mmepotelea wapi mbna hakuna jipya kuhusu wareabout ya Balali??? mmeshikishwa kidogo?

Mtanzania ulikuwa unafuatilia na hata kujua kuwepo kwa RO na hata kumtembelea Balali. Uko wapi utujulishe nani kamtembelea na kumhamisha balali alipokuwepo na kumpeleka asikojulikana?

Mwanakijiji na Kitila, mmeishia wapi na uchunguzi wa kutaka kujua alipokuwa ama tetesi za kuhamishwa alipokuwepo???

Halisi umepotea wapi na big announcement zako za Ikulu???????

List ni ndefu, Je tumeishia wapi kupata ware about the mtuhumiwa mkuu wa EPA?????

Kama ni Movie Trailer ilianza vizuri cha kusikitisha Movie imefika katikati ikiwa Starling wa movie hajaonekana kulikoni?????

mkuku Bowbow
Salaam kwenu wote toka Comoro.Sikutaka kusema hadi nianze kazi hapa lakini nimeona wacha niseme niko Comoro na naomnba ushirikiano wetu tafadhali .

Juu ya issue Ballali ukisoma vyema nilitamka wazo kwamba hakuna mtu wa kumuomba Ballali akamatwe na wala hakuwahi kukimbia US kama ilivyokuwa inasemwa.CCM wamejaa uoga kiasi kwamba Ballali akianza kusema JK itabidi akiuzuru kwa kuwa EPA JK ana mkono wake asilimia zote .Hilo nililisema na ukwel ni huo wa vijitume na mikorogo kibao na hakuna atakalo fanywa Ballali.Ballali hakufukuzwa kazi ila aliomba kujiondoa kazini na ndicho kina simama .Wote mliona barua yake ya kujiondoa kwenda kwa Rais.Meghji akaja na nyimbo zake na wengineo lakini hadi leo hawajaikana barua na mambo yakawa mambo.EPA ni mzimu mzito na una mizizi minene .Kama huamini muulize tena IGP atarudia maneno yake kwamba wanaweza kuichoma Nchi ikawaka .Sasa kama IGP kaogopa nani wa kugusa ? Maana yake hakuna aliye juu ambaye yuko salama na ndiyo maana hata Rais alimeteta Lowasa wazi wazi .Jibu la EPA ni CCM kusema walitumia pesa kuingia madarakani na wajiondoe tuwe na serikali ya mpito vinginevyo nadhani nilisha sema yangu nikamaliza na sasa naangalia kama unavyo angalia ndugu Bowbow .
 
Mkuu Lunyungu huko sindiko vijana wa JK walikowakitaka kuviiraki visiwa vya Anjoun? Na wewe ni sehemu ya hiyo operation nini? Tupe latest nuwz, eti ni kweli tumeshaanza kupokea maiti????????
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom