kiLimIlire
JF-Expert Member
- Apr 8, 2012
- 311
- 639
Matukio ya mjini yameteka uTanzania wetu tuishio vijijini, mara Ponda,mara Fareed, mara Ulimboka, mara JWTZ k/koo, mara soja kampiga polisii Ubungo mataa... yaan nchi inaendeshwa na matukio yaliyoko sehmu ndogo tu ya nchi! what the hell!!!sisi huku vijini,elimu ya kata haitupi matumaini,wajawazito hawaishi kuombwa hela ya kujifungulia,maji tunayafuata mbali kwa punda... "nyie" mpo bize na vijimatukio vyenu vya kulealea...tujuavyo sisi wa vijijin,nchi ina mbuga,misitu,maziwa,madini,ges i nk. mnatusahulisha yote hayo tukiwa katika hali duni na kushadadia vijimatukio vyenu huko mjini...
U Wapi UTANZANIA WETU SISI WA VIJIJINI
U Wapi UTANZANIA WETU SISI WA VIJIJINI