Mimi nina degree naanza uza chips, we nakushauri uuze karanga au mayai ya kuchemsha,hahahaha
ukiwa huna kazi kila tusi utalipata toka kwa wafanyakazi
Daah maisha yamekuwa magumu tupeane ishu za kufanya jameni tunaogopa kuwa wezi
ukiwa huna kazi kila tusi utalipata toka kwa wafanyakazi
mbona sekretarieti ya ajira walitoa hadi form 4 kufanya usafi maofisi kutuandalia chai,kuonyesha vyombo,hata jkt pia walitoa ungeomba then ungepata ajira huko coz ukishamaliza depo lao la jkt polisi,magereza na jwtz wanaenda kuchukua huko wenye form 4 wanapewa kipaumbele hawarudi mtaani ukiona mtu alikua jkt halafu karudi mtaani ujue huyo la 7 cku nyngine jaribu kabla umri haujakuacha nao ni muhimu wanaangalia.
Alafu asikudanganye mtu Kilahunja hata kama una degree kama ukiwa serious na kazi yako utatoka tu kikubwa kujiamini, mfano mtu anaweza kuwa mama/baba lishe kama amepata sehemu nzuri anaweza kuingiza ela sawa na mtu mwenye daladala na wakati huohuo baba/mama lishe hana pressure ya service maana masufuria service yake ni kuyaosha tu. alafu hakuna PAYE. hivyo unakuwa unapiga business unapata hela ya kununua magazeti mwisho wa siku unapata kazi na bado unakuwa na vyanzo viwili vya mapato