Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,849
- 2,671
Ni kauli ya JK katika kampeni dhidi ya malaria. Najiuliza kizazi ni nini na kinaanzia na kumalizikia wapi. Kama ni vile ninavyofikiri, basi itatuchukua karne 4 kwa malaria kuisha, la sivyo, kauli ya rais ibadilishwe. Kizazi kinaanza pale mtoto anapozaliwa siku ya kwanza. Hadi akue na kufa ni miaka mingapi? Hadi hicho kizazi kitoweke ndio malaria itakuwa simulizi. Tueleweshane juu ya kauli ya rais