Sisi ni ndugu, tunaishi katika jamii moja. CHOKOCHOKO ZA UDINI ZA KAZI GANI?

Bwana Mfumo. Hayo uliyoyasema ndio kigezo cha kuwa na chuki kati yetu na upande wa pili? Kati ya serikali na wakristo. Hiyo mikataba ilianzia kwa nani? Ikiwa wakristo waliomba, serikali ikakubali. Lakini sisi tunapeleka madai yetu, lakini serikali inasuasua. Nani wa kumlaumu hapa kati ya wakristo na serikali? Ni nani wa kumjengea chuki kati ya wakristo na Serikali? Mi naona kama ni madai, hasira, chuki na tuzielekeze kwa serikali ili itimize haya tunayoyataka ili tulingane na wenzetu. Haki zetu tunamdai nani kati ya serikali na wakristo? Kama tunaidai serikani, hakuna sababu ya msingi kupoteza muda kwa kujaribu kutaka kujilinganisha na wakristo. Tupoteze muda katika kudai haki zetu kwa serikali bila kuharibu uhusiano uliopo kati ya dini hizi kuu hapa nchini. Tena serikali ya sasa rais ni mwislamu, makamu ni mwislamu, tunao wabunge na mawaziri waislamu wa kutosha. Tuwashinikize hawa kuwa madai yetu yana msingi. Wakishindwa, chuki na hasira zetu ziwe juu yao, badala ya kuleta malumbano na watu wa imani nyingine.
Juma kidogo,Naomba unielewe ndugu Jumakidogo, tatizo lililopo kwako nadhani si mfuatiliaji mzuri wa mambo ya nchi hii hasa yanayohusiana na imani za dini.Waislamu hawana chuki na wakristo lakini wakristo ndio wanachuki na waislamu. Hawapendi waislamu wapate au wafanikiwe jambo lolote katika nchi hii. Wakristo/maaskofu wamekuwa wakiishindikiza serikali kuchukuwa hatua mbali mbali za kuwadhulumu waislamu. nakupa mifano; 1. Suala la OIC, serikali ilijiridhisha kuwa hakuna madhara yoyoyte kwa taifa kujiunga na OIC. bali kuna faida nyingi tu ikiwemo misaada na mikopo isiyo na riba. lakini wakristo kupitia viongozi wao Maaskofu ndio waliokuja juu sana na kuhakikisha serikali haijiungi na OIC.2. Mahakama ya kadhi, serikali kupitia chama chake CCM ilikuwa tayari wameweka kwenye ilani yao ya 2005 kuwa ikishinda itawawekea waislamu mahakam ya kadhi. Lakini kilichifuata ni maaskofu kukataa na kukemea suala hili na serikali ikaridhia mpaka leo hatuna mahakam ya kadhi.3. MoU, kanisa limetiliana makubaliano na serikali kwa SIRI ya kulipa mabilioni ya pesa za umma kila mwaka kwa ajili kujiendeleza. Kama kweli wanawaona waislamu ni wenzao katika taifa moja kwa nini wakristo hao wasiwashirikishe na waislamu, lakini wanakuwa wakali pale wanapodai ati mahakama za kadhi zitatumia pesa za umma. huu ni uroho na roho mbaya ya wakristo/maaskofu.4. Mauaji ya muembechai, chanzo cha mauaji ya pale muembechai kama hujui ni padri lwambano kusema yesu anatukanwa msikitini. baada ya hapo serikali ikachukua hatua za haraka na kuwaua wasilamu. Yapo mengi sana hayo ni machache tu ndugu yangu yanayothibitisha kuwa wakristo ndio wanachuki na waislamu sio waislamu wanachuki na wakristo.
 
Juma kidogo,Naomba unielewe ndugu Jumakidogo, tatizo lililopo kwako nadhani si mfuatiliaji mzuri wa mambo ya nchi hii hasa yanayohusiana na imani za dini.Waislamu hawana chuki na wakristo lakini wakristo ndio wanachuki na waislamu. Hawapendi waislamu wapate au wafanikiwe jambo lolote katika nchi hii. Wakristo/maaskofu wamekuwa wakiishindikiza serikali kuchukuwa hatua mbali mbali za kuwadhulumu waislamu. nakupa mifano; 1. Suala la OIC, serikali ilijiridhisha kuwa hakuna madhara yoyoyte kwa taifa kujiunga na OIC. bali kuna faida nyingi tu ikiwemo misaada na mikopo isiyo na riba. lakini wakristo kupitia viongozi wao Maaskofu ndio waliokuja juu sana na kuhakikisha serikali haijiungi na OIC.2. Mahakama ya kadhi, serikali kupitia chama chake CCM ilikuwa tayari wameweka kwenye ilani yao ya 2005 kuwa ikishinda itawawekea waislamu mahakam ya kadhi. Lakini kilichifuata ni maaskofu kukataa na kukemea suala hili na serikali ikaridhia mpaka leo hatuna mahakam ya kadhi.3. MoU, kanisa limetiliana makubaliano na serikali kwa SIRI ya kulipa mabilioni ya pesa za umma kila mwaka kwa ajili kujiendeleza. Kama kweli wanawaona waislamu ni wenzao katika taifa moja kwa nini wakristo hao wasiwashirikishe na waislamu, lakini wanakuwa wakali pale wanapodai ati mahakama za kadhi zitatumia pesa za umma. huu ni uroho na roho mbaya ya wakristo/maaskofu.4. Mauaji ya muembechai, chanzo cha mauaji ya pale muembechai kama hujui ni padri lwambano kusema yesu anatukanwa msikitini. baada ya hapo serikali ikachukua hatua za haraka na kuwaua wasilamu. Yapo mengi sana hayo ni machache tu ndugu yangu yanayothibitisha kuwa wakristo ndio wanachuki na waislamu sio waislamu wanachuki na wakristo.

Nayajua vizuri sana mambo haya kwa undani tangu siku nyingi ndugu yangu. Kuna kitu kidogo sana hujanielewa. Tukubaliane hapa kuwa serikali ndiyo yenye udhaifu kwa mujibu wa maelezo yako. Mantiki yangu ni kwamba; ikiwa tunatambua kuwa adui yetu mkubwa ni serikali. Tuachane na wakristo wanaotuchukia. Tupambane na serikali inayotii matakwa yao. Tutumie muda huu sasa kuacha malumbano yasiyo tija na wakristo, nguvu hizo tuzihamishie kwa serikali ndugu yangu.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom