Sisi ndio wanaume bwana!

Wee mchar......Aah we chauro hako katoto kapeleke shule.Acha kukafikiria mambo ya ajabu!!
 
Homer-08-june.gif
Homer-09-june.gif

Happy Friday Babu Asprin ..

Look!........ Thats my girlie!!
 
Babu bana,mwanamke mmoja na nusu!Sasa yupi huyo atakubali kukatwa abaki nusu?
 
miaka inaenda na mambo yake unataka kuniambia hawa wanaume huku hawakwenda shule au hawakuwahi kuwa watoto.............

hapo kwenye mchar..............inasimama badala ya nini?

Wee mchar......Aah we chauro hako katoto kapeleke shule.Acha kukafikiria mambo ya ajabu!!
 
Wanawake watakuja wametoa mimacho we acha tu!Unawaambia wanamilikiwa!Lakini kweli,mahari sijui milion 4!Sasa anatofauti gani na aliynunua gari kisha kulimiliki?Naanza kuona ukweli kwenye kauli yako babu!....
 
Babu bana,mwanamke mmoja na nusu!Sasa yupi huyo atakubali kukatwa abaki nusu?
Too eassy! Wanawake watatu mnagawana wanaume wawili. Kila mmoja na nyumba kubwa yake, mwanmke wa tatu ni nyumba ndogo, anawapangieni zamu kwa mujibu wa kujitutumua kwenu, anayetoa dau kubwa zaidi anapewa umuhimu kwa kwanza.
 
Too eassy! Wanawake watatu mnagawana wanaume wawili. Kila mmoja na nyumba kubwa yake, mwanmke wa tatu ni nyumba ndogo, anawapangieni zamu kwa mujibu wa kujitutumua kwenu, anayetoa dau kubwa zaidi anapewa umuhimu kwa kwanza.
Aisee mukulu una kaa pande ya wapi? Unanidai bia kazaa mwanaume mwenzangu.........
 
Wanawake watakuja wametoa mimacho we acha tu!Unawaambia wanamilikiwa!Lakini kweli,mahari sijui milion 4!Sasa anatofauti gani na aliynunua gari kisha kulimiliki?Naanza kuona ukweli kwenye kauli yako babu!....

Unadaiwa milioni nne unatoa povu, jee ungedaiwa 10 kama wenzio wanavyofanyiwa!

Kama huna hela chapa lapa ...........:]
 
Sasa ODM,mmoja tu pasua kichwa wawili si ndo balaa!Mi sitaki wawili nataka mmoja tu tena awe hajui kusoma wala kuandika,sitaki awe anajua haya mambo ya globolaizesheni,ni tabu tupu!Yeye ni kupika na kuijali nyumba tu!
 
....namba nne na namba tano haijakaa vizuri bana....

- mwanaume kweli hazunguki kupata akili za mbayuwayu...anajitosheleza na akili na mamuzi yake magumu.
- hiyo namba tano imekaa kiuoga uoga mno bana, usingeiweka hapo...kama hujiamini 'mke asijue,' yanini kufanya bana?
ukiingia vitani usiogope kufa bana...

ni mtazamo wangu tu mbu.

hahahaha...nakupendaga sana!
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Back
Top Bottom