Sishangai kwa namna yeyote ile kuona wabunge wa CDM wakishambuliwa na wabunge wa CCM pamoja na washirika wao CUF,NCCR, TLP UDP. Kwa tathmini ya harakaharaka ni kwamba wakati graph ya Umahiri wa CDM ikipanda kwa speed ya ajabu, vyama vingine vyote vimekuwa vikishuka na vingine kubaki pale pale walipokuwa.Hofu yao kubwa ni kwa CDM kuendelea kutwaa umaarufu na kukubalika kwa jamii kama ilovyo sasa. Kwa vyovyote vile ni lazima cdm wapigwe vita kwa namna yeyote ile.