Duuuh jembe we mtata wewe:: haya bwana tuangalie tusije kuota mkia bureee.... Mambo mengine vipi lakiini
kwani pale ni 24 hrs?Poa tu mkuu. ndio naelekea kona bar kung'oa vipi leo hauendi?!
MAPROSOO.
Why are you asking????kwani pale ni 24 hrs?
Why are you asking????
nikipita hapa
Hahahahaha, kweli umewaonea wana JF...ili kusaidia watu walio ni pm..nimepata pm zaidi ya mia moja hadi najuta kuileta hii thred hapa watu wanaulizia ilipo hii kona bar
Makanisa ya siku hizi wapo after money sana.Kama huyo kakobe na mwenzie mama luakatale.kanisa la Mungu aliye hai.
Kwani unafikiria ukiwa kwenye kanisa au msikiti mkubwa na wa kifahari ndiyo Mungu atakupendelea?
alikuwa bussy klorokwin alimuiba nikashidwa kuongea naye..kloro ni mtu wa ajabu sanaHahahahaha, kweli umewaonea wana JF...
Kazi yako, watakufungulia thread. Siku hizi ndio mtindo.
Watu wakikereka tu, wanaazisha thread!
Uliongea na Afrodenzi?
he is! mpinzani wake labda babu yangu tu...alikuwa bussy klorokwin alimuiba nikashidwa kuongea naye..kloro ni mtu wa ajabu sana
usirudi okoka kabisaaa,hio hela ya pombe ungesave kwa ajili ya kuwaandalia wanao maisha mazuri...lol
buku itamsaidia kweli ? Ungempa kaduguda
Mshkaji alinialika Kona bar...kaktikati ya stori na laga mar akatokea binti mmoja mzuri na heshima zake akatufuata akaomba kujumuika nasi na bila hiyama akasema kuwa yuko mzigoni nyuma buku mbele nyongeza.
sikuweza kuvumilia ilibidi nimpe buku nikamwambia aondoke zake hakuna mtu mwenye shida naye akachukua na kutuachia bonye la sonyooo na kuondoka zake.
ushauri:somesheni watoto wenu na kama mtu huna uwezo epuka kuzaa zaa ovyo
shemejiiiiiiiiiiiii!!!
Cha ajabu ni kutoa as little as buku halafu bado kuna nyongezaKona bar ni mahala pa hawa mademu wafanya biashara sasa la ajabu nn??
Mshkaji alinialika Kona bar...kaktikati ya stori na laga mar akatokea binti mmoja mzuri na heshima zake akatufuata akaomba kujumuika nasi na bila hiyama akasema kuwa yuko mzigoni nyuma buku mbele nyongeza.
sikuweza kuvumilia ilibidi nimpe buku nikamwambia aondoke zake hakuna mtu mwenye shida naye akachukua na kutuachia bonye la sonyooo na kuondoka zake.
ushauri:somesheni watoto wenu na kama mtu huna uwezo epuka kuzaa zaa ovyo