Sirudi tena kona bar.

ili kusaidia watu walio ni pm..nimepata pm zaidi ya mia moja hadi najuta kuileta hii thred hapa watu wanaulizia ilipo hii kona bar
Hahahahaha, kweli umewaonea wana JF...
Kazi yako, watakufungulia thread. Siku hizi ndio mtindo.
Watu wakikereka tu, wanaazisha thread!
Uliongea na Afrodenzi?
 
Hahahahaha, kweli umewaonea wana JF...
Kazi yako, watakufungulia thread. Siku hizi ndio mtindo.
Watu wakikereka tu, wanaazisha thread!
Uliongea na Afrodenzi?
alikuwa bussy klorokwin alimuiba nikashidwa kuongea naye..kloro ni mtu wa ajabu sana
 
Inafaa uchane na matendo machafu yamchukizayo muumba kijana. Mda wa kwenda kona bar na sehem za starehe u2mie vizuri kusoma vitabu vitakatifu na kusali.
Wenu ktk utumishi, Rev Fr KABOKA mchizi
 
Mshkaji alinialika Kona bar...kaktikati ya stori na laga mar akatokea binti mmoja mzuri na heshima zake akatufuata akaomba kujumuika nasi na bila hiyama akasema kuwa yuko mzigoni nyuma buku mbele nyongeza.
sikuweza kuvumilia ilibidi nimpe buku nikamwambia aondoke zake hakuna mtu mwenye shida naye akachukua na kutuachia bonye la sonyooo na kuondoka zake.
ushauri:somesheni watoto wenu na kama mtu huna uwezo epuka kuzaa zaa ovyo

Kona bar ni mahala pa hawa mademu wafanya biashara sasa la ajabu nn??
 
Mshkaji alinialika Kona bar...kaktikati ya stori na laga mar akatokea binti mmoja mzuri na heshima zake akatufuata akaomba kujumuika nasi na bila hiyama akasema kuwa yuko mzigoni nyuma buku mbele nyongeza.
sikuweza kuvumilia ilibidi nimpe buku nikamwambia aondoke zake hakuna mtu mwenye shida naye akachukua na kutuachia bonye la sonyooo na kuondoka zake.
ushauri:somesheni watoto wenu na kama mtu huna uwezo epuka kuzaa zaa ovyo

haaah haaah Saint kiwanja changu hicho. Huwa napita pale kupata biere mkuu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom