EBENEZA MT
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 264
- 50
Lile la kakobe tutaliitaje?!
kanisa la Mungu aliye hai.
Lile la kakobe tutaliitaje?!
tatizo tunafelishwa sana na elimu ya ujasiriamali hatupewi na life linabana kotekote
Lile la kakobe tutaliitaje?!
Mbona hujauliza alichoitiwa hapo kona bar? yawezekana kwenda kwake hapo bar ilikuwa ni neema kwa watoto wake.usirudi okoka kabisaaa,hio hela ya pombe ungesave kwa ajili ya kuwaandalia wanao maisha mazuri...lol
Lile la kakobe tutaliitaje?!
duh.....Mkuu umekosea sio wote ambao ni wauza k hawajasoma! Wengine ni wasomi wa haja tu kiongozi. Nenda Koinange street pale NRB kiwango kikubwa ni wnafunzi wa UNIVERSITY za pale. Njoo Moshi wengi ni wa ushirika kama sio masoka na mweka!
Hizo ni tamaa zao tu wala sio wazazi ama walezi!
Bahati yake mbaya alikuta hujalewa. angesubilisubili ulewe. kweli harakaharaka haina baraka. au siku hiyo ulikuwa umetoka kwa shemeji nyeg zote kazikata?
Dooh bahati ilioje hiyo mmeipoteza we utakuwa mshamba sana ungekula tu ndo mambo ya mjini hayo siku moja moja unakula chakula cha hoteli...
oa so proud of you!mimi sio wa aina hiyo..sio mlevi wa kihivyo na sitaki wadada wa aina hii nikiwa na shida nao si naenda mwenyewe tu kwani shida iko wapi kaka
oa so proud of you!
Nipo sana tu.he we kumbe upo? mi najua umelala sasa hivi ati
asante
Nipo sana tu.
hivi siku hizi unakaa kwenye rig ya RC??
Unaonekana usiku tu kama bundi.
namuwekaga bussy
Rig ya DD Kongosho. Yani, we acha tu! lolhivi siku hizi unakaa kwenye rig ya RC??
Unaonekana usiku tu kama bundi.
Mshkaji alinialika Kona bar...kaktikati ya stori na laga mar akatokea binti mmoja mzuri na heshima zake akatufuata akaomba kujumuika nasi na bila hiyama akasema kuwa yuko mzigoni nyuma buku mbele nyongeza.
sikuweza kuvumilia ilibidi nimpe buku nikamwambia aondoke zake hakuna mtu mwenye shida naye akachukua na kutuachia bonye la sonyooo na kuondoka zake.
ushauri:somesheni watoto wenu na kama mtu huna uwezo epuka kuzaa zaa ovyo
tatizo mwali hatakagi kutoa mambo anabaaana mara oo sijui hadi shangazi yake awepo