Baba_Enock
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 7,076
- 2,443
Mtakatifu Ivuga:
Hata wakati wa Kwaresima unavinjali Corner Bar? Tubuni na kuamini Injili...!
Hata wakati wa Kwaresima unavinjali Corner Bar? Tubuni na kuamini Injili...!
Mtakatifu Ivuga:
Hata wakati wa Kwaresima unavinjali Corner Bar? Tubuni na kuamini Injili...!
tatizo tunafelishwa sana na elimu ya ujasiriamali hatupewi na life linabana kotekote
pole...ukikutana nao ndio utajua kuwa ni ujinga au sio ujinga na ndio bahati uende kupima ujikute ndio hivyo tena rip ndio utakomaNajuta kupita hapa,ujing mtupu,Mx
itategemea tutakuwa tunafanyana nini. Lol.
Mshkaji alinialika Kona bar...kaktikati ya stori na laga mar akatokea binti mmoja mzuri na heshima zake akatufuata akaomba kujumuika nasi na bila hiyama akasema kuwa yuko mzigoni nyuma buku mbele nyongeza.
sikuweza kuvumilia ilibidi nimpe buku nikamwambia aondoke zake hakuna mtu mwenye shida naye akachukua na kutuachia bonye la sonyooo na kuondoka zake.
ushauri:somesheni watoto wenu na kama mtu huna uwezo epuka kuzaa zaa ovyo
Kona bar patamu sana. ukipata mzoga wako pale unazunguka tu pale kwenye tule tumsikiti uchwara unamaliza mambo yako halafu mambo mengine yanafuata.
MAPROSOO.
Kona bar ni noma,unaweza kubaka au ukabakwa!watoto wanaojiuza pale ni warembo sijawahi ona!ni wakali balaa!utawapata pia buguruni kimboka bar!
Mshkaji alinialika Kona bar...kaktikati ya stori na laga mar akatokea binti mmoja mzuri na heshima zake akatufuata akaomba kujumuika nasi na bila hiyama akasema kuwa yuko mzigoni nyuma buku mbele nyongeza.
sikuweza kuvumilia ilibidi nimpe buku nikamwambia aondoke zake hakuna mtu mwenye shida naye akachukua na kutuachia bonye la sonyooo na kuondoka zake.
ushauri:somesheni watoto wenu na kama mtu huna uwezo epuka kuzaa zaa ovyo
kona bar hakuna za buku labda ulimaanisha kimboka. Pale ukienda na buku tano yenyewe labda iwe night kali sana wanapomalizia kufunga mahesabu.
Jitahidi kuheshimu imani za kiroho hakuna kanisa wala msikiti uchwara as long watu wanaabudu..