Bigirita
Platinum Member
- Feb 12, 2007
- 15,986
- 7,366
Sina fedha,sina Godfather wala hati ya nyumba/shamba ila nina kitu kimoja tu kinachonitia moyo,yaani ki-saikolojia ninaamini kuwa nitakuwa settler hata kama si wa kiwango cha kutisha.Kuna members humu wana michango ya maarifa please nipeni na mimi nitawarudishia feedback hapahapa jamvini.
Mtu mwema huacha urithi kwa wana wa wanawe.
Hii signature yako ndo imekutia hasira au? ulikuwa unataka uachiwe urithi??!!!