Mzee wa Rula
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 8,171
- 3,346
mkuu hapo kwenye nyekundu unamaanisha huyuhuyu makamu wa raisi!?
sijakuelewa kwani haijulikani alipo??
Dr. Balali yule aliyezushiwa kufa mpaka leo.
mkuu hapo kwenye nyekundu unamaanisha huyuhuyu makamu wa raisi!?
sijakuelewa kwani haijulikani alipo??
Siri za uchunguzi wa awali wa tukio la kutekwa na kujeruhiwa kwa Dkt. Stephen Ulimboka zimeanza kuvunja, lakini kwa mshangao wa wanaojua kilichotokea, uchunguzi huo unatoa majibu yenye tata.
Habari za kutoka ndani ya vyombo vinavyochunguza tukio hilo, zinasema katika hatua ya awali zimeibuka na nadharia tatu juu ya kwa nini na nani aliyemteka Dkt. Ulimboka.......
Wacha wasi wasi enginia wa mpango mzima ni Bwana Jack Zoka, Bwana Msangi hao ni baadhi ya wahusika waletwe mahakamani ili wakanushe kuhusika wenyewe!!!!!Njia ya muongo ni fupi, Ulimboka alishaongopa Mwenyewe, kusema aliyemteka katoka ikulu bila kumtaja jina nin dhahiri anahisi tu na hakuna ukweli wowote na hata akija leo hana la kusema.
Mkuu hata kama watamhujumu Dr ameisha record kanda na imeseviwa kwenye sehemu nyeti na inazidi kusambazwa ili ukweli ujulikane!!!!Utajikunja kuandika hizi hadithi zako na wengine watakuja na theories zao lakini ukweli upo na utajulikana na ngoja Ulimboka mwenyewe apone na hata kama watamhujumu usisahau kuna Mungu na kwa uweza wake anaweza kuyafunua yote. Ushauri wangu kwako usiwaze sana wala usipoteze mda na jambo hili subiri mda wa kuujua ukweli ni waja.
Kweli yale maeno ya Dr. Mwakyembe kwamba Polisi wetu wanafanya kazi kama waganga wa kienyeji yamekuwa VINDICATED.
hivi kuunda tume huru inahitaji mtu ushauriwe na rocket scientist? .
Theory MOJA ambayo hamtaki kuisema na mnajaribu kui cover up ni kwamba Dr. Ulimboka alitewkwa na kuteswa na USALAMA wa TAIFA. Hii ndiyo theory ita stand hayo matundu yote.
Tuseme yote lakini pia tukumbuke matukio ya vifo vya akina CHACHA WANGWE, kifo cha mtu alisemwa kuwa mfuasi wa CDM wakati uchaguzi mdogo kule Igunga. Tamko la Ulimboka kuwa mmoja wa watekaji wake alikuwa amevaa magwanda.
Hakina matukio hayo yanaweza kubadili kabisa mtazamo wa watanzania walio wengi wa nani anahusika hasa na tukio hili la utekwaji Ulimboka. Kwanini tukio lolote ambalo CDM wanatuhumiwa, wanaharakati nao wanakuwa nyuma kwa karibu sana?
Siri za uchunguzi wa awali wa tukio la kutekwa na kujeruhiwa kwa Dkt. Stephen Ulimboka zimeanza kuvunja, lakini kwa mshangao wa wanaojua kilichotokea, uchunguzi huo unatoa majibu yenye tata.
Habari za kutoka ndani ya vyombo vinavyochunguza tukio hilo, zinasema katika hatua ya awali zimeibuka na nadharia tatu juu ya kwa nini na nani aliyemteka Dkt. Ulimboka.
Nadharia hizo zinazozua utata wa hali ya juu, zinaonyesha na kutoa maelezo ya hatari, ambayo madaktari hawakubaliani nayo hata kidogo, ingawa wamekiri kuwa nao wameyasikia maelezo hayo waliyoyaita ya ‘kipuuzi'....