tunajua mtekaji yupo humu JF, atuambie tu alitumwa na nani, ili tuondokane na hizi popaganda za liwalo na liwe, inaboa mtu kuja hapa na propaganda zisizokuwa na msingi kutaka kumsafisha shati pinda na mr dhaifu
Utajikunja kuandika hizi hadithi zako na wengine watakuja na theories zao lakini ukweli upo na utajulikana na ngoja Ulimboka mwenyewe apone na hata kama watamhujumu usisahau kuna Mungu na kwa uweza wake anaweza kuyafunua yote. Ushauri wangu kwako usiwaze sana wala usipoteze mda na jambo hili subiri mda wa kuujua ukweli ni waja.
Kweli yale maeno ya Dr. Mwakyembe kwamba Polisi wetu wanafanya kazi kama waganga wa kienyeji yamekuwa VINDICATED.
Polisi wanasema waliomteka Dr. Ulimboka ni madaktari wenzake. Lakini hadi leo hakuna hata mmoja aliyeshikwa na kuhojiwa.
Polisi wanadai waliommteka Dr. Ulimboka ni ndugu waliofiwa na wagonjwa kwasababu ya mgomo. Lakini leo hakuna hata mtu mmoja liyeshikwa na kuhojiwa.
Mtakuja na kila theories lakini zote zitabaki na matundu kibao.
Theory MOJA ambayo hamtaki kuisema na mnajaribu kui cover up ni kwamba Dr. Ulimboka alitewkwa na kuteswa na USALAMA wa TAIFA. Hii ndiyo theory ita stand hayo matundu yote.
BTW, hivi kuunda tume huru inahitaji mtu ushauriwe na rocket scientist? Thanks GOD Dr. Ulimboka yuko hai.
Upuuzi tupu,DR Uli kamtambua Msangi fullstop. Ukweli zaidi upi zaidi ya mtekwaji na kauli yake. Na Msangi anamtumikia nani? Wanaharakati,Chadema,ndugu wa marehemu au serikali? Fanyeni utafiti kujua historia ya utendaji kazi wa Msangi mtapata picha kamili
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.