Nani aliyedhani na kutabiri hayo???? Acha uongo wewe!. . . Ila 2015 inadhaniwa na kutabiriwa kuwa huenda kwa mara ya kwanza yakazuka mapigano na machafuko kama watanzania watashindwa kuvumiana katika mambo ya imani na na ukabila .
Na kibaya zaidi namna michakato ndani ya chama ilivyojaa uhasama na mizengwe. . .
Mungu ibariki Tanzania Mungu Bariki Afrika. . .
Ubongo wako umefail kuprocess mawazo yako.Kweli Nape anawaumiza kichwa wengi sana na kazi yake ya kukifufua chama chake CCM... Maana siku hizi huwezi kuingia JF ukakosa thread inayomjadili Nape.
Jamaa atakua ni jembe sana... Keep it up Nape.... Inaonekana kazi yako nzuri sana ndio maana hawalali wanakuchokonoa hata kwa mambo yanayochekesha kama haya. Uwe muangalifu sana na nyendo zako kuelekea 2015.
Sasa ni mpambano kati ya Nape, Zitto na Mtatiro... Vijana wengine wote waliobaki ni wafuasi wa madingi wa vyama vyao.
heri umesema watu aina ya lowasa, si lowasa mwenyewe. kwani hilo ni janga.Lowassa akiwa Rais tutafika mahali fulani,ana sifa za uongozi ni mbunifu,msimamiaji mzuri wa maamuzi ni mkalipiaji kwa wazembe,Nchi bila aina ya akina Lowassa tutaendelea kulaumiana tu