VUVUZELA
JF-Expert Member
- Jun 19, 2010
- 3,103
- 785
Nimekuwa nasikia kila kona watu wakiongelea kichinichini kuhusu siri za familia ama ukoo ambazo huwezi kuzijua hadi ukioa ama ukiolewa huko, ama mtu wa karibu sana akwambie.
Je ni kweli kuwa kila familia ama ukoo una siri zake? Je katika ukoo wenu ama familia yenu kuna siri ambazo wanafamilia tu ndio mnazijua? Je ni zipi?
Shukrani kwenu wote!
Je ni kweli kuwa kila familia ama ukoo una siri zake? Je katika ukoo wenu ama familia yenu kuna siri ambazo wanafamilia tu ndio mnazijua? Je ni zipi?
Shukrani kwenu wote!