huaelewa nini kokudo mbona wantia aibu,nambie nikufafanulie swahibaShosti cjakuelewa hapa hata kdg.nigagadulie chidogo.
Asante michele jamani umepotea wewe ulikwenda kuangalia maendeleo ya mazao?Ni tabia mbaya sana Kokudo nafurahi umeliongelea hili....watu wanamwaga siri kwa watu ambao hawawezi hata kuwasaidia.....na wengine wanasema ili mradi wakionekana na wanawake/wanaume wengine ionekane sawa kutokana na sababu wanazotoa.siamini kabisa kuwa kuna majibu au solutions kwa mtu kwenda kusema sema ovyo maeneo ya public kama hayo.at least kuna wazazi au ndugu wa karibu au hata rafiki wanaoweza kuwa wa msaada lakini si saluni au kijiweni.....big up sana kulisema hili!
Asante michele jamani umepotea wewe ulikwenda kuangalia maendeleo ya mazao?
Asante michele jamani umepotea wewe ulikwenda kuangalia maendeleo ya mazao?Ni tabia mbaya sana Kokudo nafurahi umeliongelea hili....watu wanamwaga siri kwa watu ambao hawawezi hata kuwasaidia.....na wengine wanasema ili mradi wakionekana na wanawake/wanaume wengine ionekane sawa kutokana na sababu wanazotoa.siamini kabisa kuwa kuna majibu au solutions kwa mtu kwenda kusema sema ovyo maeneo ya public kama hayo.at least kuna wazazi au ndugu wa karibu au hata rafiki wanaoweza kuwa wa msaada lakini si saluni au kijiweni.....big up sana kulisema hili!
Shosti cjakuelewa hapa hata kdg.nigagadulie chidogo.
Sijambo michele duh kwa bibi tena?mbona ukupita home wkt ni pua na mdomo?
Watoto tunawapenda lakini hawaruhusiwi hapa
Sasa mtoto nani mbona mwafinyafinya mambo weka wazi.nshasema mtoto wa mwenzio mkubwa mwenzio.
Shosti hv anaebaka anakua ni nani kati ya hao?anaeduu au wanaemduu?
Sasa mtoto nani mbona mwafinyafinya mambo weka wazi.nshasema mtoto wa mwenzio mkubwa mwenzio.