mtu kuna watu mpaka sahivi washafanyiwa kitchen party zaidi ya tano.
Wengine na kuzaa washazaa. Kuna vidada siku hizi vikikosa channel ya pesa vinajiandalia kitchen party. Lol!
mhh Husninyo nami nafanya yangu wiki ijayo naomba uhudhurie ila katika listi ya zawadi zangu friji na tv ndio hajijatiwa tiki sasa sijui utaleta nini kati ya hivyo,mwanamke kitchen party bwana mume hata njiwa anae:lol::lol::lol: