Rejao
JF-Expert Member
- May 4, 2010
- 9,220
- 4,056
tunazidi kuimarika kutokana na nguvu ya upinzani kuzidi kushuka.Mnajiimarisha kwa lipi wakati kila kitu kimewashinda? bei juu, shilingi inaporomoka kwa kazi, sasa mnafanya nini? Nyani aoni kundule wewe nakupa siku chache tu utaimbia hata kutoa maoni hapa JF kwa aibu.
Uchumi wa nchi hii ni wetu sote na siyo wa CCM. Watu tunajisahau, tunataka serikali itufanyie kila kila kitu.