Rejao
JF-Expert Member
- May 4, 2010
- 9,220
- 4,056
Chama ni imara...kinapendwa..kina wanachama wengi na wanaojulikana, siyo wanachama wa magwandwa wa kujificha ficha!Mtajiimarisha tena? Hata mkitumia mapolisi na mahakimu, siku ikifika ya kuondoka mtaondoka. Kaondoka Hosni Mubarak na gaddafi, sembuse huyo wenu mkenua meno?
Upinzani unahitaji kufanya kazi ya ziada kuweza kufanya mapinduzi.
kwa stahili yao hawa CDM hawafiki kokote