1800
JF-Expert Member
- Dec 27, 2010
- 2,215
- 603
Ni sawa mdau,lakini kwanini iwe ni Dr.Mwakyembe pekee wakati yeye alichofanya ni kusoma ripoti ya kamati teule ya Bunge iliyokuwa na wajumbe wengi? Hawa wajumbe wengine wa kamti ile mbona hatusikii wakiwindwa? au kuwa mwenyekiti wa tume ndio ilikuwa nongwa?
Unaijua ile list ya watu wanaowindwa kuwekea sumu au kuuwawa kwa njia yoyote ile?