Siri ya Shule za Seminari kufaulisha wanafunzi ni ipi?

Nyie karirini juzuu 36 wenzenu wanafaulu, eti kuiba mtihani! Hata sisi Azania tuliibaga mitihani ya six na zero zilikuwa kibao, tambua hata mtihani ukivuja mwenye akili ndio atafaulu sababu anavijua
Si kweli seminari hawaibi mitihani.sema hufundishwa kwa asilimia 100,hulishwa material kama watoto wa ndege, hawajui kujitafutia ndo maana wengi wao wakienda shule za serikali wanafeli. kwa kuwa kule hakuna tena mambo ya kuandikiwa notes ni mwendo wa discussion tu. pia wengi wao hujisahau kwa maana serikalin hakuna mchujo ukianza fm 5 nilazima umalize fm.6.si hivyo tu pia serikalin kuna uhuru mkubwa compared to seminary schls.discipline in govern.schools is very loose
Mimi ni mwalimu, nimesoma shule za ma-sister; kusimamia mitihani katika shule za seminary ni raha sana kuliko shule nyingine wana nidhamu ya hali ya juu sana.
 
Nyie karirini juzuu 36 wenzenu wanafaulu, eti kuiba mtihani! Hata sisi Azania tuliibaga mitihani ya six na zero zilikuwa kibao, tambua hata mtihani ukivuja mwenye akili ndio atafaulu sababu anavijua

Hivi Hujapata Point Ya Kuongelea Point Mpaka Uingize Udini??

Hebu Soma Hapo Juu umuone Mleta Uzi alivyosema "SHULE ZA SEMINARI ZA DINI ZOTE" na wala Hakuilenga Dini maalum.

Kwahiyo Hayo Ya Kuwa Tunakariri Juzuu 36 yanahusu nini Hapa??
Ndiyo Yes, Sisi Tuna Memorise Juzuu 30 (na Sio 36) na Tunajiproud Kwa Hilo, Je unataka nini??

Sasa mimi Sikusoma SEMIARI wala nini Lakini Upload Hapa Matokeo Yako ya Advance (Form 6) na Mimi Nieke Yangu ili Tufanye Comparison nani Ki.la.za kati ya mimi Ninaekariri juzuu 36 na wewe usie kariri.
Die in Your rage!!

Hapa issue ni "PRIVATE SCHOOL" sio Dini,, Na Ni Ukweli usiofichika Kuwa Private School WANAIBA MITIHANI Whether You Want or Not...
 
Hivi Hujapata Point Ya Kuongelea Point Mpaka Uingize Udini??

Hebu Soma Hapo Juu umuone Mleta Uzi alivyosema "SHULE ZA SEMINARI ZA DINI ZOTE" na wala Hakuilenga Dini maalum.

Kwahiyo Hayo Ya Kuwa Tunakariri Juzuu 36 yanahusu nini Hapa??
Ndiyo Yes, Sisi Tuna Memorise Juzuu 30 (na Sio 36) na Tunajiproud Kwa Hilo, Je unataka nini??

Sasa mimi Sikusoma SEMIARI wala nini Lakini Upload Hapa Matokeo Yako ya Advance (Form 6) na Mimi Nieke Yangu ili Tufanye Comparison nani Ki.la.za kati ya mimi Ninaekariri juzuu 36 na wewe usie kariri.
Die in Your rage!!

Hapa issue ni "PRIVATE SCHOOL" sio Dini,, Na Ni Ukweli usiofichika Kuwa Private School WANAIBA MITIHANI Whether You Want or Not...
 
Seminari "Pendwa" toka lini zimefaulisha wanafunzi? Tizama tu seminari za mjini Dar ndo utaelewa. Wao wamekalia kupangisha fremu za maduka kuzunguka shule.
 
kinachofanya wanafunzi wa seminari na ma-sister za kikatoliki kufaulisha ni;
1.Mtihani wa interview wa kuingilia kidato cha kwanza ambayo huwawezesha kuchagua ma-generous.
2.Sheria na utaratibu mzima wa shule husika.(kila kitu kufanyika kwa ratiba)mdogo wangu aliyekuwa akisoma st.franscis alienda kusoma muda wa kusali na alifukuzwa shule pamoja na wazazi kwenda kuomba mshamaha wale ma-sister waligoma katakata.
3.Hawapokei watoto wanaohamia.walioanza nao ndio wanaendelea nao bila kusahau mchujo wa hali ya juu passmark ni 60 mf. shule ya Bethel mafinga.(kwa shule zetu za kayumba mtu akipata wastani wa 60 yaaani huyo ni kipanga lol)kwa shule ya bethel ukimpeleka tution mtoto wako wakati wa likizo na sister akapata ubuyu ndio basi mwanao anafukuzwa shule haijalishi ana akili kiasi gani
4.Shule za seminari hawapo kibiashara. kuna mwaka seminary ya mafinga,wanafunzi kidato cha nne waligoma.walifukuzwa wote! mwaka huo hapakufanyika mtihani wa kidato cha nne.huwezi amin wanafunzi wale wengi wao wakaenda shule ya jeshi ,kawawa. kwa mwaka ule ile shule walipanda sana rank ya kufaulisha kitaifa. lol
5.wao husoma o'level kwa miaka 5 ukijumlisha na PRE-FORM ONE pia wana misingi mizuri ya lugha ya kiingereza.
6. wengi wao hulazimishwa kusoma somo la bible-knowladge ambao hupata grade A ambayo huwapandisha division. na kufanya ufaulu wa shule kuwa mkubwa.
NAOMBA KUWAKILISHA. SAMAHANI KWA MWANDIKO MCHAFU. WASALAM.
Umeandika ukweli mtupu
 
Nyie karirini juzuu 36 wenzenu wanafaulu, eti kuiba mtihani! Hata sisi Azania tuliibaga mitihani ya six na zero zilikuwa kibao, tambua hata mtihani ukivuja mwenye akili ndio atafaulu sababu anavijua
Watu wanasikiliza maneno ya mtaan

Mimi nimesoma.seminary,mambo ya kuiba mtihan hakuna


Na sure nakwambia SEMINARY mtihan ukija kuvuja basi wote wanatapata banda tena 100


Sisi tutakomaa kusoma wastan wa shule 60 wao wanakomaa kusoma wastan wa shule 35


Sasa hapo tukipewa mtihan mmoja,tushikana kweli

Maana seminary usipo fikisha wastan husika ubafukuzwa na sio kuludia kidato



Nakumbuka mwaka 2004 pale st mery`s mbalizi seminary,walifukuzwa form km 20 hv woote wakahamia shule flan ina SOUTHERN HIGHLAND..ile shule ilipanda balaaa na baadae soko likaongezeka maana mijamaa ilipata one yoote 20


Ila kuna figus zilitokea wengine wakakatiwa matokeo



So hakuna.kuiba kule huwa kunapambana balaaa
 
Ni ukweli usiofichika kuwa taasisi za kanisa tajwa zimejipambanua kwa huduma bora na kuzalisha wataalamu katika fani za UONGOZI, ELIMU na AFYA. Hii ni mifano tu ya taasisi hizo.
1. Seminari zote za katoliki
2. Vyuo vya Udaktari na Uuguzi (Bugando, Ifakara n.k)
3. Vyuo Vikuu ...SAUT n.k.
Asanteni sana Kanisa katoliki kwa kutupa kilicho bora kabisa.
St Joseph university haiko chini ya waRC?,nauliza tu
 
Asante kanisa kwa huduma nzuri za ELIMU & AFYA. Mungu awalipe, mnafanya kazi kubwa sana. Mmetumia vyema msamaha wa kodi mnaopewa.
 
1. Mazingira mazuri ya ufundishaji na ujifunzaji
2. Social welfare ziko vizuri
3. Time management (na hapa ndipo taasisi nyingi za umma zinapochemka kila mtu anaunda sub-time table yake)
4. Uongozi mzuri na mahusiano mazuri baina ya watumishi, watawala na wanafunzi jambo linalojenga ari ya kujituma miongoni mwao.
5. Nidhamu ya hali ya juu kwa msaada wa Mungu (kwa imani zao); shule za umma zimekuwa hazina mkazo katika mambo ya elimu ya dini ambayo huwafanya wanafunzi kuwa na hofu ya Mungu na kuwa na nidhamu.
6. Maslahi mazur kwa watumishi
7. Mchujo kutoka darasa moja kwenda jingine; hii huwafanya kuwaondoa slow learner na kubaki na wale "golden one". Lakin katika shule za umma wote slow learners na fast learners hulazimika kubaki na hakuna kumrudisha nyuma darasa hata kama uwezo wake unaonekana hauridhishi (na hapa ndipo kosa kubwa lilipo)
Yote hayo hata kata yapo

Siri ni MCHUJO TU
 
Hakuna lolote hawa jamaa wa seminari mafunzo yao mengi yana base na discipline ya kufanya vitu, muda wa kusoma ni kusoma na kucheza ni kucheza. Ndio maana unakuta akisoma seminari baadae waamie shule ya kawaida inakuwa ngumu sana wao kufiti kwenye mfumo mwingine.
 
dah .Mimi walinitimua jamaa wa maua.miaka mitatu lakini nilijifunza mengi.watu wanasoma msuli heavy.kusali sana.kufanya kazi sana.nidhamu ya kutosha.kwenda na ratiba.yani ukifanya hivyo lazima ufaulu tu
 
Nidhamu Nidhamu nidhamu,nimesoma pale makoko seminary o-level wako vizur
nidhamu bila kusoma hawezi ukatoboa.nidhamu bila kufanya kazi na kusali hauwezi ukatoboa.kuna jamaa tulisoma nae alikua na nidhamu ya hali ya juu lakini akafell kuingia form 2 wakamtimua
 
Hata Ala-Hara-maini Seminari wana matokeo mazuri sana na nidhamu ya hali ya juu toka kuanzishwa kwake.
 
Siri ni Nyeto, watoto wa seminary sio wa kuke au wakiume wanajichua sana hii inapelekea akili zao kuwa centred no stress!
 
Back
Top Bottom