S. S. Phares
JF-Expert Member
- Nov 27, 2006
- 2,138
- 82
Makamu wa Rais Dk Ali Mohamed Shein akiangalia Bidhaa za aina mbali mbali za futari wakati alipotembelea katika soko la Kawe Dar es salaam kufuatia ziara yake ya kuangalia bei za bidhaa hizo katika masoko yaliyomo ndani ya Wilaya ya kinondoni ambapo bei za bidhaa hizi zimepanda kwa kiwango kikubwa kulinganisha na bei za awali.