Siri ya Mwenge wa Uhuru

Watu hajui kuna usiri gani wakati wa kuongeza mafuta ya mwenge ziarani na kilitokeaga nin wakati mwenge unazimika unexpectedly.

Mnajua historia na mwisho wa wakimbiza mwenge???

Ile ni ibada kamili ya mashetani.
 
Kwanini uwe mjinga? Kwanini usitumie akili? Kwanini ufikirie kuwa kunamashetani?
Mwenge wa Uhuru haunaconnection na imani ya aina yote.
Halafu baadae utasema kumpigia saluti raisi ni kumuabudu.
Dhana ya mwenge wa uhuru ni kuwamulika wanyonyaji wote na kuleta mshikamano.
Hivi umezaliwa mwaka gani vile?
Ondoa imani potofu ndani ya akili zako.
Kwani wazee kuchinja mbuzi au kondoo ndio kuabudi mashetani?
Hiyo ni ishara ya furaha na Mlima kilimanjaro ndio mrefu kuliko yote Africa.
soma report hii Yeremia 22:18-19' ;kwakuutetea mwenge mungu mto wa wafilist na magrikia,utakufa kifo kibaya hutaliliwa hat na nduguzo,wakisema aa ndugu yaangu,aa dada yangu,wala hawatasema aa bwana wangu;aa utufu wake,utazikwa kwakuburuzwa kama punda na kutpwa nje ya ufalme wa Mungu;Yerusalemu,pole ng'ang'ania kutetea miungu isyoumba mingu na nchi,
 
anayesema rombo haijalaaniwa anakili mgano,kukosa LIBIDO kwa wanaume kwasababu ya ulevi ni ushahidi tosha kuwa rombo imelaaniwa,ndo ujue mtu akilaaniwa huwa hajijui kuwa amelaaniwa,na hata akijulishwa hupinga kama anavyopinga MBUNGE wao,habari ya wanaume kukosa libido kwa sababu ya ulevi ambao unatajwa kuwa ni dhambi, soma ripoti Isaya5:11,1Korinho6:9-10,
 
Mimi naongelea concept ya mwenge sio kama jamaa anavyo wandanganya watu mchana kweupe kuwa ni ibaada ya mashetani. Inamaana Watanzania ni mashetani?

Yuko sahihi!
.kwanza unaelewa maana ya ibada?
Sio kubisha tu!?
 
Mkuu, ni Mungu aliye kufunulia hili! Mwenge ni laana kubwa! na ni ibada kwa mzimu wa nyamurunda, tutake tusitake ni hivyo! mwenge unawekwa na wasionaufahamu wanauzunguka huku wanaselebuka daah! unauzunguka moto huku unacheza? hee! Taifa lisipoomba toba tutaangamia hakika!

Shaka ondoa,tushaomba toba
 
Mojawapo ya mambo ya awali kabisa (siku 100) za raisi ajaye ni kusitisha hii dhambi inayotupa laana ya kukimbiza mwenge.
Naamini kuwa raisi ajaye atakuwa ni mcha Mungu,hivyo mwenge utakuwa historia.
 
Eti mwenge umesaidia/umefungua kuleta zahanati, maji safi n.k..
Sasa kazi ya wizara husika na bajet zake kila mwaka iko wapi!??
Alafu mwenge uko wizara gani ili tujue bajet yake kamili:confused:
 
Wale jamaa zetu siku hizi wanatumia magari aina ya Nissan private No.Huwa wanaichukua hiyo tochi wanaenda nayo chemba kuibadirisha tambi na kuongeza wese,infact mmoja wao ni shemeji yangu alishawahi kuniambaiaga kuwa katika ile tochi kuna siri kubwa sana ya kiuchawi na mizimu iliyoachwa na........ aliniambia kuwa siku tukiupuuza ndiyo itakuwa mwisho wa SISIEMU,
Mimi ndiye bwana mungu wako usiabudu miuungu wengine. Je tochi ile ni sanamu,muzimu,nyoka wa shaba,au Msukule?????????????????????????????????????????????????

Huo ndo ukweli!

Ni ibada za kishetani!!
 
unachosema mkuu acheche kina ukweli, nakumbuka 2007 nilikuwa najitolea kufundisha shule flani kijijini kwetu, mwenge ukaja kuzindua jengo la bweni la wasichana, nilipewa assignment ya kuandaa ndoo ya mchanga na kuupeleka staff room, baada ya mwenge kufika ulioelekwa ofisini kisha ukazungukwa na wanajeshi, then ulizimwa halafu wakamwaga majivu na(mchanga?) kwenye mfuko, kisha wakaweka tena mchanga kidogo kutoka kwenye ile ndoo kwenye ule mwenge, ukawashwa shuguli za uzinduzi zikaendelea. nilipouliza hakuna aliyenipa jibu zaidi ya kusema kuwa baada ya kuhitimisha mbio za mwenge mchanga ule na majivu yale yaliyokusanywa nchi nzima huwekwa kwenye chombo kimoja na kusemewa vineno hv, then hutupwa baharini, ati ili kudumisha muungano...

Na hizo ndo ibada zenyewe!!!
 
mimi niliwahi kumuuliza baba nikiwa mdgo ya maana ya mwenge na faida zake,, nikaambulia kofi kali la mdomo na kuniambia unataka tufungwe!! nikashangaa tufungwe??!!!

Hahaaaaa
Yaaani nimecheka jamani.
Pole sana
 
Salaam wakuu,
Leo hapa maeneo ya Mlandizi tunategemea Mwenge upite na uzinduliwaji wa miradi kadhaa ya maendeleo. Nimesikia myths nyingi kuhusu mwenge kama vile hauzimiki mpaka ufikie destination point na pia ikitokea bahati mbaya umezima basi wahusika hujificha kwenye chumba peke yao na kuuwasha kwa siri bila watu kuona. Some say una mikono ya mizimu nk. Naomba kufahamu kidogo kuhusu Mwenge

Pitia huu Uzi kuna kitu utajifinza!

Google uone original yake ndo utajua ni jinsi gani watu wanaabudu mizimu
 
Kwanini uwe mjinga? Kwanini usitumie akili? Kwanini ufikirie kuwa kunamashetani?
Mwenge wa Uhuru haunaconnection na imani ya aina yote.
Halafu baadae utasema kumpigia saluti raisi ni kumuabudu.
Dhana ya mwenge wa uhuru ni kuwamulika wanyonyaji wote na kuleta mshikamano.
Hivi umezaliwa mwaka gani vile?
Ondoa imani potofu ndani ya akili zako.
Kwani wazee kuchinja mbuzi au kondoo ndio kuabudi mashetani?
Hiyo ni ishara ya furaha na Mlima kilimanjaro ndio mrefu kuliko yote Africa.

Mwenge upi huo unaomulika wanyonyaji (msfisadi)?? Tutajie mnyonyaji japo mmoja tu aliemulikwa na huu mwenge.

Hivi wajua kua kunakopita huu mwenge maasi ya ngono yanafanyika sana kwa wageni na/au wenyeji?

Na kama wengine hawautaki huu mwenge, huo mshikamano unaoletwa ni upi? Si ajabu ndio maana Watanzania tupotupo tu hatueleweki hata tupoje tumekaa kizoba zoba tu tunaibiwa kila siku sababu ya ibada tusizozijua kama hizi za mwenge
 
Mwanzo umeanza vizuri lakini huko mwisho umetutukana kwa lugha ya ki-shetani na wewe sasa tunajua ni walewale tu wachawi wakubwa wa nchi yetu.
Cardinary Pengo,Maaskofu mapadre,wachungaji kama kina Mwingira,Mzee wa upako,kolola,na wengine wengi ambao mnaanza na utumishi wa Mungu,Shehe mkuu wa Tanzania Simba wanamapinduzi wa kiislamu kama Ponda na kikundi chako waumini wa dini zote kasoro wapagani kwanini mmekaa kimya wakati taifa linapokea laana ya Mwenyezi Mungu kila mwaka kwa kulipeleka kwenye madhabahu za shetani anayetembea kuabudiwa na kusujudiwa na CCM aitwaye MWENGE WA UHURU.

Wakati anaambukiza ukimwi watu wetu, anawatesa wazazi wetu huko vijijini na kusimika viongozi mashetani katika taifa hili?Hivi mmewahi kujiuliza kwanini taifa hili haliendelei?Ni laana zitokazo kwa mungu wa Ccm itwaye mwenge hivyo kama kweli mnalitakia mema taifa hili Hubirini waumini wenu wakatae ibada ya mungu-mwenge na kasisi wake Ccm ili tuokoke na balaa hili!Wabilah tofiq asalaam aleykum wallahmatullah wabarakat!Atukuzwe baba na mwana na roho mtakati Aaaaaamen!!!!
 
Pitia huu Uzi kuna kitu utajifinza!

Google uone original yake ndo utajua ni jinsi gani watu wanaabudu mizimu

Hata ukristo ibada zote mnazofanya zina asili ya kuabudu ushirikina mtupu, tena ni copy and paste ya asili ya dini ya mithra ya kishirikina tupu! so acheni kujifanya eti mwenge ni ushirikina wakati mnajua fika asili ya pasaka, xmass, misa zenu na yale mamishumaa ni full ushirikina. acha kuuponda mwenge wakati huijui asili ya ibada yako
 
Hata ukristo ibada zote mnazofanya zina asili ya kuabudu ushirikina mtupu, tena ni copy and paste ya asili ya dini ya mithra ya kishirikina tupu! so acheni kujifanya eti mwenge ni ushirikina wakati mnajua fika asili ya pasaka, xmass, misa zenu na yale mamishumaa ni full ushirikina. acha kuuponda mwenge wakati huijui asili ya ibada yako

Pole we na hao wakristo mnaoabudu sikukuu nk

Wakristo tuliojielewa tunaabudu halisi kwa sababu Mungu ni roho na tunaomwabudu yatupasa tumwabudu katika roho na kweli!
Upo mpaka hapo?sasa kazi kwenu msiojitambua ambao bado mnaabudu siku,sijui sikukuuu nk.
Narudia tena,mwenge ni ibada ya kshetani, hutaki pita hivi!

Hata maana ya ibada hamuelewi kazi kufuata mkumbo bila kufikiri nje ya box
 
Du hii kali.mm kuna bro wangu anakimbiza mwenge mwaka huu na juzi nilienda kumuona ilala na kapata zawadi nyingi sana ,sasa namsubiri arudi lazima nimuulize kuhusu uhalisia wa mwenge.
 
Kuhusu mwenge Mimi naamin kinachosemwa kwamba mwenge huambatana na ibada za kishetan.
Sina uhakika sana kama kika mwenge uendako ibada hizi hufanyika....
Lakin nikiwa kidato sha sita katika shule moja hapa nchini... Nilikuwa kiongozi mtiifu na mwaminifu swala ambalo lilinifanya kuaminiwa na mwalimu wa malezi shuleni hapo...
Siku ya mbio za mwenge wilayan kwetu kituo cha mbio za mwenge kilikuwa shuleni kwetu.. Siku hiyo niliona maajabu ambayo ntaendelea kuyakumbuka Mimi na nafsi yangu....
Kama umewahi kushuhudia utaelewa naamanisha mini...
Kama kawaida mwenge unapowasili kila kituo chake lazima upelekwe kwenye CHUMBA MAALUMU KILICHOANDALIWA
huko ndiko niliweza kuona kile nilichoona mie. Baada ya mwenge kupokelewa hapo shulen kwetu ulipelekwa chumban huko sijui uliingia na akina nani...
Lakin baada ya mwenge kuondoka chumba kilifungwa na na funguo hizo alikuwa Nazi mwalimu wangu wa malezi... Siku io mida ya masomo ya jioni (preparations) niliitwa na mwalim wa malezi nikapewa funguo nikaambiwa niende kusafisha kile chumba peke yangu na ntakachokiona nisimwambie mtu. Na kiukweli daaaaaah..
;);):oops:
Anaweza kuamin nnachokiongea aliyewahi kuingia kwenye chumba maalum cha mwenge
 
Back
Top Bottom