Nyambala
JF-Expert Member
- Oct 10, 2007
- 4,465
- 1,170
Aliyeamua kufanya siri mshahara huo ni Mkapa baada ya kuuongeza mshahara huo na marupurupu mara tu alipoingia madarakani hakutaka Watanzania tuujue.
Bubu nakubaliana na wewe kabisa kwa hili kwani nakumbuka mshahara wa mzee Ruksa umewahi kuandikwa gazetini a month or 2 kabla ya kumaliza kipindi chake na ilikuwa kilo nne (400,000) kama nakumbuka vizuri.