Elections 2010 Siri ya Mshahara wa Rais na Marupurupu ya Rais Wastaafu...

Wakoloni walipo ondoka Tanganyika, walituachia kitabu kilichoitwa Staff List. Kilikuwa kinachapishwa mara mbili kwa mwaka na wizara ya Utumishi. Nilicho nacho cha mwish kuchapishwa ni cha 1972. Maafisa wote wa serkiali walikuwa wanaandikwa kwenye kitabu hiki. Taarifa zifuatazo zilikuwamo: mshahara, tarehe ya kuzaliwa, ya kuajiriwa, elimu, mahali alipo, jinsia, hali ya ndoa nk. Sijui kulitokea nini baada ya hapo, kwani sijakiona tena kitabu hicho tangu kufariki kwa ofisa aliyekuwa anashughulikia uchapishaji wake (marehemu Hussein Haji). Ukurasa wa Ikulu wa mwaka 1972 kwa mfano, unasomeka ifuatavyo:

Basic Salary Appointment Name BirthDate Station Date of Appointment Remarks
Per annum marital status
48,000 President m Mwl J.K.Nyerere D'salaam 9.12.62
M.A. LLD (Edin.) 1922
56,000 1st VP mSheikh A.A.Kaarume Zanzibar 27.4.64
48,000 Minister m A.Jumbe Zanzibar 27.4.64
of State
48,000 Minister of m Sheikh A.M.Mwinyi D'salaam 6.11.70
State
50,000 Princ Sec m D.A Nkembo B.A. D'salaam 13.3.56
(Lond) 28.6.30
Orodha hii ilikuwa nik kwa wizara zote.Wakati huo kulikuwa hakuna watumish hewa.

Macinkus
 
WAziri Mshahara wake ni 1.6M.Mshahara wa Rais ni SIRI
....Kamshahara mbona kametulia tu ukiongeza na imprest za safari za majuu kama anazozichapa muungwana si haba. Kwani wanajua hata bei ya kilo ya mchele au maharage iko vipi sokoni tandale au kariakoo??? Si kila kitu kwa mrija tu kama mgonjwa mwenye drip???? Mi nadhani ujasiriamali wao white house ni uroho tu may be tuseme ni fashion imeingia kila mtu anataka kuwa mjasiriamali...
 
Mshahara wa Rais haukatwi kodi ni Basic net salary. Mshahara wa rais ni "tax exempted income".
 
Mshahara wa Rais haukatwi kodi ni Basic net salary. Mshahara wa rais ni "tax exempted income".


No. 11 Income Tax 2004 131

SECOND SCHEDULE EXEMPT AMOUNTS
(Made under section I 0)
1. The following amounts are exempt from income tax - Act No.30 of (a) amounts derived by the President of the United Republic or the President of 1997 the Revolutionary Government of Zanzibar from salary, duty allowance and entertainment allowance paid or payable to the President from public funds in respect of or by virtue of the office as President; Act No. 5 (b) amounts derived by the Government (including Executive Agency established of 1986

under the Executive Agencies Act, 1997) or any local authority of the United Republic or by the Revolutionary Government of Zanzibar or any local authority of Zanzibar except amounts derived from business activities that are unrelated to the functions of government;
(c) amounts derived by any person entitled to privileges under the Diplomatic and Consular Immunities and Privileges Act to the extent provided in that Act or in regulations made under that Act;
(d) amounts derived by an individual from employment in the public service of the government of a foreign country provided -
(i) the individual is a resident person solely by reason of performing the employment or is a non-resident person; and
(ii) the amounts are payable from the public funds of the country;
(e) foreign source amounts derived by -
(i) an individual who is not a citizen of the United Republic and who is referred to in paragraph (d)
 
Mshahara wa Rais haukatwi kodi ni Basic net salary. Mshahara wa rais ni "tax exempted income".
..Why???!! Kwa nini???!! nae si mtumishi wa SIRIKALI? Pensheni nayo anapata kama karani wa kawaida ambaye anakatwa kodi? This is not fair at all...
 
Wakoloni walipo ondoka Tanganyika, walituachia kitabu kilichoitwa Staff List. Kilikuwa kinachapishwa mara mbili kwa mwaka na wizara ya Utumishi. Nilicho nacho cha mwish kuchapishwa ni cha 1972. Maafisa wote wa serkiali walikuwa wanaandikwa kwenye kitabu hiki. Taarifa zifuatazo zilikuwamo: mshahara, tarehe ya kuzaliwa, ya kuajiriwa, elimu, mahali alipo, jinsia, hali ya ndoa nk. Sijui kulitokea nini baada ya hapo, kwani sijakiona tena kitabu hicho tangu kufariki kwa ofisa aliyekuwa anashughulikia uchapishaji wake (marehemu Hussein Haji). Ukurasa wa Ikulu wa mwaka 1972 kwa mfano, unasomeka ifuatavyo:

Basic Salary Appointment Name BirthDate Station Date of Appointment Remarks
Per annum marital status
48,000 President m Mwl J.K.Nyerere D’salaam 9.12.62
M.A. LLD (Edin.) 1922
56,000 1st VP mSheikh A.A.Kaarume Zanzibar 27.4.64
48,000 Minister m A.Jumbe Zanzibar 27.4.64
of State
48,000 Minister of m Sheikh A.M.Mwinyi D’salaam 6.11.70
State
50,000 Princ Sec m D.A Nkembo B.A. D’salaam 13.3.56
(Lond) 28.6.30
Orodha hii ilikuwa nik kwa wizara zote.Wakati huo kulikuwa hakuna watumish hewa.

Macinkus

Macinkus,
Kama ungeweza ku-scan na kuipost angalau some few pages ingesaidia sana kama kaushahidi wa uliyosema ili mjadala upanuke zaidi.
 
Wakoloni walipo ondoka Tanganyika, walituachia kitabu kilichoitwa Staff List. Kilikuwa kinachapishwa mara mbili kwa mwaka na wizara ya Utumishi. Nilicho nacho cha mwish kuchapishwa ni cha 1972. Maafisa wote wa serkiali walikuwa wanaandikwa kwenye kitabu hiki. Taarifa zifuatazo zilikuwamo: mshahara, tarehe ya kuzaliwa, ya kuajiriwa, elimu, mahali alipo, jinsia, hali ya ndoa nk. Sijui kulitokea nini baada ya hapo, kwani sijakiona tena kitabu hicho tangu kufariki kwa ofisa aliyekuwa anashughulikia uchapishaji wake (marehemu Hussein Haji). Ukurasa wa Ikulu wa mwaka 1972 kwa mfano, unasomeka ifuatavyo:

Basic Salary Appointment Name BirthDate Station Date of Appointment Remarks
Per annum marital status
48,000 President m Mwl J.K.Nyerere D'salaam 9.12.62
M.A. LLD (Edin.) 1922
56,000 1st VP mSheikh A.A.Kaarume Zanzibar 27.4.64
48,000 Minister m A.Jumbe Zanzibar 27.4.64
of State
48,000 Minister of m Sheikh A.M.Mwinyi D'salaam 6.11.70
State
50,000 Princ Sec m D.A Nkembo B.A. D'salaam 13.3.56
(Lond) 28.6.30
Orodha hii ilikuwa nik kwa wizara zote.Wakati huo kulikuwa hakuna watumish hewa.

Macinkus
Macinkus
Naomba unisaidie,je unaweza kurevisit hizo figure za Hayati Mwalimu na Hayati Mzee Karume? naona kama VP analipwa zaidi ya P mwenyewe.
Moja ya vielelezo vya seniority katika utumishi wa umma ni tofauti ya mshahara.
Please do the needful.
 
Macinkus
Naomba unisaidie,je unaweza kurevisit hizo figure za Hayati Mwalimu na Hayati Mzee Karume? naona kama VP analipwa zaidi ya P mwenyewe.
Moja ya vielelezo vya seniority katika utumishi wa umma ni tofauti ya mshahara.
Please do the needful.

Nafikiri kama ataweza kuibandika, hatahitaji kujibu kitu. Tutapata majibu mengi zaidi ya kwa nini ilikuwaje ikawa hivyo.
 
Nadhani mshahara wa Raisi unaweza ukawa ni TGS Q ambao hapo awali ulikua ni Tshilingi 2,300,000/= lakini umepandishwa kuanzia July 2008 na umekua Tshilingi 2,760,000/= FIXED.

Huo ndio mshahara mkubwa kabisa na wa mwisho kwenye Ngazi ya Watumishi wa serikali. TGS Q
 
Kwamba mshahara ni mdogo hilo wala silifikirii

kwa vyovyote wana mshahara mkubwa. Lakini pia tuangalie ukubwa wa marupurupu mengine ambayo rais na mkewe wamepewa.

Mtoa hoja analo la pili ambalo alitaka kulisimamia. Kwamba rais mstaafu alijigeuza mjasiriamali kutokana na ukata.
Kwamba alijigeuza mjasiriamali: hilo sibishi asilani. Lakini kwamba alifanya hivyo kutokana na ukata, Hilo napinga kwa bidii zote.
Mlafi hata umlishe nini hashibi.
 
Nadhani mshahara wa Raisi unaweza ukawa ni TGS Q ambao hapo awali ulikua ni Tshilingi 2,300,000/= lakini umepandishwa kuanzia July 2008 na umekua Tshilingi 2,760,000/= FIXED.

Huo ndio mshahara mkubwa kabisa na wa mwisho kwenye Ngazi ya Watumishi wa serikali. TGS Q

Sidhani kama ni kweli, kwa sababu nafasi RAIS siyo mtumishi wa serikali, hiyo ni nafasi ya kisiasa. Rais ana-package maalum ambayo haiwekwi wazi. Mshahara wa Rais ni mkubwa zaidi ya huo uliosema.
 
Bonnie 1974

nitabandika kurasa angalau mbili kutoka Staff List 1972. makamu alikuwa ana mshahara mkubwa kuliko Rais. Labda marupu rupu ndio alikuwa anamshinda.

macinkus
 
Tuujue mshahara wa Rais kwani kuufanya siri? Hata sisi tunatamani kuugombea urais tukijua mshahara. Ajira gani inayofichwa hivyo? Huku nikutudharau wananchi.
Kwani wakina Kikwete mpaka anaingia Ikulu hakuwa anajua anakwenda kupata kiasi gani kweli?
 
Kwani siku hizi serikalini hakuna salary scales kwa watumishi wake? Kama zipo, raisi na mawaziri wote ni watumishi wa serikali na scale zao hazitakiwi ziwe siri. Utumishi hebu tupeni jibu

Aliyeamua kufanya siri mshahara huo ni Mkapa baada ya kuuongeza mshahara huo na marupurupu mara tu alipoingia madarakani hakutaka Watanzania tuujue.
 
Kutokana na vyanzo vya habari visivyothibitishwa; "Vikiulizwa, vitakataa kuthibitisha ushahidi ili kulinda unga wa watoto" vinasema Mheshimiwa Mtanashati anavuta mshiko wa around 4m fixed 'Hauguswi na mtu'.

Kuna marupurupu ya kumwaga tu, usione anajipa safari za nje kiholelaholela tu, hizo nazo zina figures zake zimetulia, hata ile ya kwenda kumuona family pet aliyekuwa mgonjwa wa kiongozi fulani kule upande wa jua lichomozako, pia kulikuwa na marupurupu yake. Halafu na sijataja kama ndio first family, hivyo everything is taken care of.

Kama umeshtukia, mama watoto naye kiguu na njia; ....kaching...Sarafu za wadanganyika zinadundulizwa tu. Awamu iliyopita walikuwa na gea ya ujasirimali, wakakwapua walivyopenda; awamu hii ni kwa kutumia jina letu wenyewe 'Tanzania'. Tutakuja kuona tu pindi kipindi chake kikiisha, then tutaangalia kipochi chetu tuone ni kiasi gani kilichobakia ili tumuhudumie muheshimiwa mwingine, ndipo tutakapokuja kushtuka kama tumetapeliwa.

Yangu macho tu!!!
 
Kutokana na vyanzo vya habari visivyothibitishwa; "Vikiulizwa, vitakataa kuthibitisha ushahidi ili kulinda unga wa watoto" vinasema Mheshimiwa Mtanashati anavuta mshiko wa around 4m fixed 'Hauguswi na mtu'.

Kuna marupurupu ya kumwaga tu, usione anajipa safari za nje kiholelaholela tu, hizo nazo zina figures zake zimetulia, hata ile ya kwenda kumuona family pet aliyekuwa mgonjwa wa kiongozi fulani kule upande wa jua lichomozako, pia kulikuwa na marupurupu yake. Halafu na sijataja kama ndio first family, hivyo everything is taken care of.

Kama umeshtukia, mama watoto naye kiguu na njia; ....kaching...Sarafu za wadanganyika zinadundulizwa tu. Awamu iliyopita walikuwa na gea ya ujasirimali, wakakwapua walivyopenda; awamu hii ni kwa kutumia jina letu wenyewe 'Tanzania'.

Tutakuja kuona tu pindi kipindi chake kikiisha, then tutaangalia kipochi chetu tuone ni kiasi gani kilichobakia ili tumuhudumie muheshimiwa mwingine, ndipo tutakapokuja kushtuka kama tumetapeliwa.

Yangu macho tu!!!

It seems were are nowhere yet. We are still guessing right? My hypothesis is getting +. No conclusion yet but believe me ,the president is underpaid. Check the Kenyan counterpart, Uganda etc. You may wish to compare it with some Directors like TANROAD BOSS. I am not trying to defend their misdeed like doing business in the white house. Wanasema Simba akizidiwa hula majani.
Boring but fact. president haihitaji kucreate visafari ili apate chochote kama analipwa fresh au vipi wakuu? I sound like defending the president and I hate it, but have to say it.Utumishi saidieni basi kuweka point straight.
 
Ya nini tuandikie wino wakati mate yapo.......I mean mate wakati wino upo...
Pale utumishi yuko mama mmoja anaitwa mama"....". Anaweza kwenda kuchungulia na kutuambia Specific figure, sio tunagesigesi tu hapa. Maana ni lazima utakuwa umeandikwa mahali. I'll get back to you......
 
Back
Top Bottom