Wakoloni walipo ondoka Tanganyika, walituachia kitabu kilichoitwa Staff List. Kilikuwa kinachapishwa mara mbili kwa mwaka na wizara ya Utumishi. Nilicho nacho cha mwish kuchapishwa ni cha 1972. Maafisa wote wa serkiali walikuwa wanaandikwa kwenye kitabu hiki. Taarifa zifuatazo zilikuwamo: mshahara, tarehe ya kuzaliwa, ya kuajiriwa, elimu, mahali alipo, jinsia, hali ya ndoa nk. Sijui kulitokea nini baada ya hapo, kwani sijakiona tena kitabu hicho tangu kufariki kwa ofisa aliyekuwa anashughulikia uchapishaji wake (marehemu Hussein Haji). Ukurasa wa Ikulu wa mwaka 1972 kwa mfano, unasomeka ifuatavyo:
Basic Salary Appointment Name BirthDate Station Date of Appointment Remarks
Per annum marital status
48,000 President m Mwl J.K.Nyerere D'salaam 9.12.62
M.A. LLD (Edin.) 1922
56,000 1st VP mSheikh A.A.Kaarume Zanzibar 27.4.64
48,000 Minister m A.Jumbe Zanzibar 27.4.64
of State
48,000 Minister of m Sheikh A.M.Mwinyi D'salaam 6.11.70
State
50,000 Princ Sec m D.A Nkembo B.A. D'salaam 13.3.56
(Lond) 28.6.30
Orodha hii ilikuwa nik kwa wizara zote.Wakati huo kulikuwa hakuna watumish hewa.
Macinkus
Basic Salary Appointment Name BirthDate Station Date of Appointment Remarks
Per annum marital status
48,000 President m Mwl J.K.Nyerere D'salaam 9.12.62
M.A. LLD (Edin.) 1922
56,000 1st VP mSheikh A.A.Kaarume Zanzibar 27.4.64
48,000 Minister m A.Jumbe Zanzibar 27.4.64
of State
48,000 Minister of m Sheikh A.M.Mwinyi D'salaam 6.11.70
State
50,000 Princ Sec m D.A Nkembo B.A. D'salaam 13.3.56
(Lond) 28.6.30
Orodha hii ilikuwa nik kwa wizara zote.Wakati huo kulikuwa hakuna watumish hewa.
Macinkus