Mallaba
JF-Expert Member
- Jan 30, 2008
- 2,554
- 47
ndio maana wameomba wampitishe ANNA MAKINDA ,maana SITA alikuwa anawatwekea kizuizi..lol shame on u
Once again,the writing was on the wall.... "The current Political Service Retirement Benefits Act, passed by the National Assembly in 2000"
Jamani, jamani, jamani... hivi hili Bunge letu liliingiliwa na kitu gani kipindi hicho?!
Katika historia ya nchi yetu 'tukufu' ya Tanzania,mimi nadhani historia mbaya kuliko zote zimejengeka ndani ya matukio yaliyomo 1998 na 2005.
Laana ya nchi iliyokubwa kuliko yote imejikusanya ndani ya kipindi hiki!!!