umeongea kitu kizito sana hongera mkuu.anayelinda mwizi nae mwizi tu....viongozi wote waliokuwepo tangu kipindi cha mkapa wote wezi
umeongea kitu kizito sana hongera mkuu.anayelinda mwizi nae mwizi tu....viongozi wote waliokuwepo tangu kipindi cha mkapa wote wezi
usilaumu mkuu,swala la kupiga kura ni hatua ya kwanza lakini hatua ya pili nani atatangwazwa mshindi ni kitendawili hukumbuki Rais mstaafu alivyosema kwamba sizihitaji kura za wafanyakazi wewe unahisi alikuwa anamaanisha nini? huku Afrika kupiga kura ni kutimiza wajibu tu, lakini kimsingi haina maana,wewe unafikiri unapoambiwa kura ni haki yako unayaamini hayo maneno? kura haki yako nani kakuambia?Ndiyo. Sioni sababu ya kulalama humu wakati kuna waliotoroka ccm na kutuambia ukweli wakati wa kampeni ili tuihukumu kwenye sanduku la kura. Na wapiga kura walinogewa na ladha ya chumvi ya sh. 300 na T-shirt na vijikofia wakapuuzia na kuwabeba wezi walewale kwa mara nyingine. Wacha watumalize kabisa huenda tutapata wazo la pamoja tutakapokuwa ndani ya kontena tukipekekwa china kuchomwa mishkaki na soseji.
kuachia ngazi ya uwaziri na issue ya Lugumi kuyeyuka hivyo ndo kuondoka na uchumi wa nchi.Yule Lugumi na Kitwanga wanaondokaje na uchumi wa nchi kwa mfano?
Mkuu hakuna nukta wala kina ni kutritiwa tuu ,duukua
kuachia ngazi ya uwaziri na issue ya Lugumi kuyeyuka hivyo ndo kuondoka na uchumi wa nchi.
Hako kamstari ni kafupi sana unakasoma wala huhitaji kushusha pumzi,sasa nukta au kina ni vya nini?Mkuu hakuna nukta wala kina ni kutritiwa tuu ,duu
Hapo ni pagumu sana wandugu zangu, eneo hilo liko ki-internarional law, haiwezekani kuligusa japo siku ile anafungua kinyerezi alionesha wazi kuwa yeye kama rais hawezi kuendelea kuilipa iptl; nadhani bado pengine mkuu wa nchi anatafakari aanzeje na amalizeje hii ghasia; mikataba ya utata ni mingi sana kwenye nchi; hebu angalia GGM na Tsh 3 inayolipwa kwa taifa; nenda acia formerly Buzwagi, ni yaleyale cheki mwadui hapo hata vyombo vya habari huwa hazigusi kabisa yaani hata ukimuuliza mwanafunzi wa kodato cha nne usije shangaa endapo atakwambia hajui kama kuna almas tz maana hata serikali yenyewe wala bunge hawaongeleagi kabisa juu ya hili.
Mie nilimwelewa Rais Magufuli aliposema wazee ndo wametufikisha (wametusababishia hali mbaya na udumavu wa kiuchumi nchini). Mie nitaendea kuamini kuwa hata Rais mwenyewe hafurahii kabisa uwepo wa iptl na mikataba yote yenye utata. Ninaamini kuwa endapo Rais ataamua kuisambalatisha mikataba kama hiyo itabidi akae chini na wazee wa kazi ikiwemo na tiss na maofisa wa juu wa kampuni husika kucheza mchezo fulani hivi na baadaye kujakuonekana kampuni imevunja masharti ya mkataba na hivyo imepoteza uhalali wa kuendelea kufanya kazi zake. Wamarekani na nchi kubwa duniani wanaishi
kwa style hizi ikitokea tu wakapoteza imani na wewe huku wakijua fika mkataba wako unakuruhusu kufanya kile ufanyacho ndo hapo utazipenda tu idara za usalama wa mataifa haya yaani hawapotezi mda, watakuchezeshea technique za kiudundi kisha ikajikuta eti umevunja masharti ya mkataba nakwahiyo biashara au kazi siyo halali tena hivyo unatakiwa kuondoka nchini.
Bado Makufuli anayo nafasi ya kuvunja mikataba yote tata ila kunakazi kubwa ya lufanya na hapo ndipo ninamwelewa anaposema tumuombee kwa MUNGU, mimi nitamwombea kwelikweli maana majipu mengine yako sehemu mbaya sana ukigusa tu laweza kuondoka na uchumi wote wa taifa.
Noo sorry mkuu nilimlenga Nazareth,samaniHako kamstari ni kafupi sana unakasoma wala huhitaji kushusha pumzi,sasa nukta au kina ni vya nini?
Dhubutu yake!uzi huu anauchunguliaa tuwapi lizaboni,,njoo utoe maoni yako hapa
Umenikumbusha mbali. Hiv hii mahakama ya mafisadi imkute au mtuumiwa awaunganishe ktk kesi hawa wastaafu hii kauri ya huyu msema ovyo itahadhiri vipi mwenendo wa mahakama hiyo ?"Wastaafu wangu, nitawalinda kwa nguvu zangu zote. Msiwe na hofu laleni usingizi mzito. Wadharauni wanaowasema vibaya kwani tumewazoea". Kwa kauli hii mnategemea mikataba ya aina ya IPTL itaguswa? Hapa ni mazingaombwe tu na mkizidi kujiuliza mtaishia kuambiwa ni miradi inayohusu ulinzi na usalama wa nchi kama ile ya meremeta na tangold. Mpoooo!!!!!
Mchanga nao ulishamshinda,sasa hivi unapitishwa kama awali..Sasa kahamia kwenye mchanga
Kabisa. Unaweza kufa kihoro kwa kuwaza madudu ya 'sirikali' hiiSometimes ni bora kutojua kinachoendelea katika nchii hii ili kujiondolea stress.