dolevaby
JF-Expert Member
- Aug 25, 2013
- 12,954
- 9,474
Ndugu usicheze na Kifo cha Kitanzi kila MTU anaefanya tukio la Mauaji pale mwanzo huwa haoni athari yake lkn akishahukumiwa kama namna hiyo kunyongwa Siku zinavyozidi kwenda ndio akili inamkaa sawa....ila ukikutana naye live ni kama kachanganyikiwa fulani hivi