Kasheshe
JF-Expert Member
- Jun 29, 2007
- 4,694
- 787
Mwafrika wa Kike
,
Kwa hiyo haukuwa ukijua kwa nini tume inatwa "tume ya rais ya madini", unafikiri walishindwa kuita ya buzwagi, au ya Karamagi, in short purpose ya tume sio whitch hunting? kama watu kama wewe mnavyopenda iwe, ni tume ya kutathmini mambo kwa mapana ndio maana wako watu makini kama akina Iddi Simba, Zitto, na wala sio akina wachunguzi wa jinai au rushwa kama akina Tibaigana, Alfred Gewe, na Kina Manumba au Adadi Rajab.au wafanyakazi wa PCCB: au wanssiasa Chacha Wangwe, Mudhihiri, etc.
,
Kwa hiyo haukuwa ukijua kwa nini tume inatwa "tume ya rais ya madini", unafikiri walishindwa kuita ya buzwagi, au ya Karamagi, in short purpose ya tume sio whitch hunting? kama watu kama wewe mnavyopenda iwe, ni tume ya kutathmini mambo kwa mapana ndio maana wako watu makini kama akina Iddi Simba, Zitto, na wala sio akina wachunguzi wa jinai au rushwa kama akina Tibaigana, Alfred Gewe, na Kina Manumba au Adadi Rajab.au wafanyakazi wa PCCB: au wanssiasa Chacha Wangwe, Mudhihiri, etc.