Siri nzito uteuzi wa Dr. Hamis Andrea Kigwangala kuwa mgombea wa ubunge jimbo la Nzega

Naona hakuna mtu ambaye yuko serious enough kufuatilia hizo alleged kashfa zangu. Sasa sintojibu any of this crap anymore mpaka mtakapoleta ushahidi au hoja objective! Mimi ni Mbunge na ni Mkurugenzi wa Kampuni, kuna uwezekano mtoa mada ameniomba hela sikumpa labda au ameiba kwenye kampuni akafukuzwa anaamua sasa kunichafua na watu hapa mnajadili crap isiyo na substance yoyote badala ya kutafuta ukweli! Is it fair kumjadili mtu based on misinformation? Nimewapeni clue ambazo zinawezawasaidia kuujua ukweli sasa si muutafute? Kampuni yangu haikupata Stimulus Package hata senti moja na ni kweli kuna watu walipata pesa hizo hawakustahili na tuliostahili tulikosa, na in fact MSK Solutions Ltd hadi leo inaidai serikali pesa tuliyowalipa wakulima kama top up on the price wakati wa recession!

Sasa kama msomi kama wewe unashangaa mjasiriamali msomi, kijana agrressive, risk-taking, GOD blessed, GOD fearing, progressive kama mimi, ambaye I decided to immerse myself in building a business with all my energy, knowledge, skills for years with all the opportunities available ningekuwa sijajua tu wawekezaji wanafanyaje kuanzisha na kuendesha miradi. Hapo ningekuwa mjinga wa kupindukia. KTY, kuna watu wengi wanaozifahamu jitihada zangu katika uwekezaji na kuna wengi nimekuwa nikiwaelimisha jinsi ya kufanya na wamefanikiwa kwa ushauri huo. Kwa wanaonifahamu toka siku nyingi wanajua jitihada zangu kwenye kazi. Mimi si msemaji bali mtendaji. Wengi hamjui kufanya biashara. WaTanzania wenye asili ya India na bara arab wamekuwa wakifanya biashara na kuzitumia hizi kanuni za kuwekeza na ku-trade effectively, for generations na wamekuwa wakitajirika na kuishi maisha mazuri kila siku. Siri yao hawakuwahi ku-share na watanzania 'kama mimi' wengi. Miaka ya hivi karibuni na watanzania kama mimi tumeamka na tumejua wenzetu wamekuwa wakifanyaje. Najua humu kuna watu makini na mnaweza kuchunguza kuhusu MSK, basi na mchunguze ili muweke rekodi sahihi.

Wakatabahu,
HK.

Kingwangala hapo kwenye bold ni inbox basi na mi nijue hiyo siri....manake wajasiria mali tupo wengi ila hizo siri za biashara zinakuwaka zinasumbua kiaina..
 
Mbona unakimbilia kusema hakuna issue hapa huku kuna habari kuwa hiyo kampuni ilikuwa na mtaji wa zaidi ya dollar millioni tano!! Hizi si hela ndogo by any standards za hapa kwetu Bongo; isije kuwa hawa jamaa kwavile walikuwa karibu na mama Salma waliweza kufaidika na Stimulus package ambayo wajanja wameikomba bila mpangilio na sasa Zitto ndio ameikomalia bungeni!! Hawa wafanyabiashara wa ununuzi wa pamba ndio beneficiaries wakubwa wa package ile ingawa kwa vigezo vilivyotumika kuwapa hizo fedha wengi hawakustahili kupewa hizo pesa walizopewa wakaishia kununua mavogue!!

Sasa ndinani kinachotakiwa ni facts sio kuweka mambo kwa hisia...hapo kwenye bold ya kwanza fafanua hizo habari zilizopo na uziweke hadharani pamoja na source zake....bold ya pili inaonyesha unaandika kwa kudhani dhani....bold ya tatu weka wazi vigezo sahihi na hao wengi waliopewa ambao hawakustahili.......mwisho kabisa unaonekana una wivu wa kitoto, acha kumind mavoque!!
 
Labda nianze na huyu anayesema kuwa mimi niliwahi kula hela ya DARUSO MUCHS nikiwa Rais...nadhani alikuwepo zama zile. Huu ni uongo na hesabu zilifanyiwa uchunguzi na mapato na matumizi kukaguliwa na tume iliyotumwa kuchunguza iliridhika na ikanipa clearance. Kilichokuwepo kwenye tuhuma hizi ni siasa kwa kuwa mtu aliyeshinda uchaguzi na kuwa Rais baada ya mimi kutoka alihisi kuwa mimi nilikuwa mshauri wake na nikimkampenia mpinzani wake mkuu, hivyo alinichukia na kuamua kunichafua vibaya sana. Lakini hayo nayo yalipita. Kuhusu tie za MUCHS hili nalo ni la uongo na pengine umepotoshwa na aliyekuhadithia kuhusu mimi. Maana ni kinyume haswa; mimi niliitisha mgomo kupinga tai na makato ya SFRs (students' faculty requirements) pale ukumbi wa CPL na nilihamasisha wanafunzi wakaandamana hadi pale MPL boardroom ku-stall kikao cha academic board kilichokuwa kikiendelea mpaka tukalipwa! Bila shaka wewe ulikuwa miongoni mwa wale waoga wa harakati za hatari kama hizi hivyo pengine hukuja. Nakumbuka nilitoa hotuba ya ushindi huu jioni ya saa 12 nikiwa ghorofani MPL huku wanafunzi wakishangilia na hapo hela ya tai na ya SFRs ilikuwa refunded to us. Pengine huu utakuwa ni miongoni mwa migomo michache iliyowahi ku-yield mafanikio, katika historia yangu ya pale MUCHS! I really exercised smart negotiation skills siku zile.

Ni Kweli mimi namiliki hisa kwenye MSK Solutions Ltd (17 perc.) Na hili liko wazi wala silifichi, kila mtu huko kwenye pamba analijua hilo. Hata kwenye fomu za ku-declare mali zako kama mtumishi wa umma nimesema hivyo! Hata ukienda BRELA utakuta hivyo! Ni umaskini wa kifikra kuona mimi siwezi kuwa na share kwenye kampuni ndogo kama hii eti kwa sababu ya umri wangu! Ni uelewa mdogo wa kiuwekezaji na biashara kwa ujumla kushangaa hili! Mbona kwenye pamba kwanza sisi ya kwetu ni miongoni mwa kampuni ndogo kabisa? Kwa faida yako, tulinunua kiwanda na asset mbalimbali kwa njia ya mkopo na kila mwaka tunakopa kihalali kabisa mtaji wa kuendeshea biashara hii! Wengi hamuelewi jinsi haya mambo yanavyopelekwa na hivyo mkisikia mtu yuko asset worth 6m USD mnashangaa kabisa! Ni maajabu kabisa eti?! Hata mimi nilikuwa hivyo sema baada ya kufukuzwa kazi MNH sababu ya mgomo na mustakabali wa maisha yangu kuwa haujulikani, niliamua kujiajiri na kutumia muda, nguvu, bidii, ujuzi, uzoefu na ubunifu wangu kuanzisha biashara na kuijenga na kuisimamia hadi leo hii! Katika kuhangaika sana tulifanikiwa kuuona mlango wa kutokea - Agribiz! Na bado upo wazi! Someni finance and investment mtafumbuka macho kidogo! Mimi sina ubiya na mtu yeyote aliyejificha wala nini na hatujawahigombana na wala kudhulumiana pesa (one billion) ya benki sasa tungekuwa on bizness tu kweli? Au jela? Wakurugenzi tulioanzisha hii kampuni tupo watatu na bado tu watatu vile vile!

Great thinkers fanyeni uchunguzi au mpotezeeni tu huyo ndg, maana hajui alisemalo, atawapotezea muda bure tu! Hawa ndiyo wale wanaotumiwa na mahasimu wangu kisiasa, ambao bahati mbaya sana they got nothing tangible on me! Each time ni uongo na uzushi tu. Na mimi sintoacha kuwamaliza, nitawashambulia tu kwa maslahi ya walio wengi.

Regards,
HK.

Maelezo yako yako sawa, umejieleza vizuri. Tatizo hapa kuna baadhi ya watu wanakitu naweza kusema wivu ambapo mtu akipata mafanikio katika shughuli zake anaandamwa. Wanapenda kuona watu hawafanikiwi katika maisha na shughuli zao
 
Naona hakuna mtu ambaye yuko serious enough kufuatilia hizo alleged kashfa zangu. Sasa sintojibu any of this crap anymore mpaka mtakapoleta ushahidi au hoja objective! Mimi ni Mbunge na ni Mkurugenzi wa Kampuni, kuna uwezekano mtoa mada ameniomba hela sikumpa labda au ameiba kwenye kampuni akafukuzwa anaamua sasa kunichafua na watu hapa mnajadili crap isiyo na substance yoyote badala ya kutafuta ukweli! Is it fair kumjadili mtu based on misinformation? Nimewapeni clue ambazo zinawezawasaidia kuujua ukweli sasa si muutafute? Kampuni yangu haikupata Stimulus Package hata senti moja na ni kweli kuna watu walipata pesa hizo hawakustahili na tuliostahili tulikosa, na in fact MSK Solutions Ltd hadi leo inaidai serikali pesa tuliyowalipa wakulima kama top up on the price wakati wa recession!

Sasa kama msomi kama wewe unashangaa mjasiriamali msomi, kijana agrressive, risk-taking, GOD blessed, GOD fearing, progressive kama mimi, ambaye I decided to immerse myself in building a business with all my energy, knowledge, skills for years with all the opportunities available ningekuwa sijajua tu wawekezaji wanafanyaje kuanzisha na kuendesha miradi. Hapo ningekuwa mjinga wa kupindukia. KTY, kuna watu wengi wanaozifahamu jitihada zangu katika uwekezaji na kuna wengi nimekuwa nikiwaelimisha jinsi ya kufanya na wamefanikiwa kwa ushauri huo. Kwa wanaonifahamu toka siku nyingi wanajua jitihada zangu kwenye kazi. Mimi si msemaji bali mtendaji. Wengi hamjui kufanya biashara. WaTanzania wenye asili ya India na bara arab wamekuwa wakifanya biashara na kuzitumia hizi kanuni za kuwekeza na ku-trade effectively, for generations na wamekuwa wakitajirika na kuishi maisha mazuri kila siku. Siri yao hawakuwahi ku-share na watanzania 'kama mimi' wengi. Miaka ya hivi karibuni na watanzania kama mimi tumeamka na tumejua wenzetu wamekuwa wakifanyaje. Najua humu kuna watu makini na mnaweza kuchunguza kuhusu MSK, basi na mchunguze ili muweke rekodi sahihi.

Wakatabahu,
HK.

Sina sababu ya kukushabikia kwa hivyo nikisemacho ningekisema kwa mtu yeyote ambaye angejitetea kama ulivyofanya wewe.
Kama ulivyosema wewe una kitu zaidi ya wengi humu na kwa kukiona hicho naona umefanya uamuzi ulio sahihi wa kuwapa watu uhuru wa kutowa evidence kwa tuhuma juu yako. Hata hivyo nina wasiwasi kuwa hilo litaweza kutokea hivyo hata tukikutukana basi bora kaa kimya. Ukali wa maisha na kutofanikiwa kwa malengo yetu kunatufanya turesort katika kashfa , udaku, nafitna!
 
Huko siku za nyuma niliwahi kuandika hoja hii hapa hebu fuatilieni na mnaweza kujifunza kitu:

"Ndugu zangu, As I was walking from the Parliament office building in Dar es salaam today, heading to my office located in Makunganya, I passed through the twin towers, and for a second there a feeling of patriotism emerged and I begun to think very seriously on some major political scandals of our times, of course I remembered Dr. Daudi Balali and the sequential sagas he died with.*
From the committee meeting I was thrilled to have learnt of a lot of policies, plans and strategies put in place by the Ministry of Education and Vocational Training. I had a lot of hopes then. But on crossing down the twin towers, I got put off. When I reached my office the spirit for work had vanished, so I decided to read newspapers and books. They could never rekindle my work spirit either. For a moment there I asked myself what is wrong with this country? Is it laws, policies, plans, people who make and implement them or the famous Watson was right? I decided to then look on some documents...first I passed through the constitution? Except for a few clauses, which I already know are deficient, I learnt that, the founding book would never be a reason for our failure. I decided to scan through the MKUKUTA, wow, what a beautifully crafted book! Complete in all 'sectors'. I went through the Vision 2025, same thing...then what? Why are are we still there?*
As I was reading the vision 2025, I got interested to read and read and read! Of particular interest in the document was a section on 'MINDSET'> Je, do we really have the right mindset as a nation? Probably this could be the reason for being where we are today! What do you think? What should be done?
"Section 4.1 DEVELOPMENTAL MINDSET AND EMPOWERING CULTURE
High priority must be given to education and continuous learning. Equally, the effective transformation of the mindset and culture to promote attitudes of self-development, community development, confidence and commitment to face development challenges and exploit every opportunity for the improvement of the livelihood is of prime importance. The effective ownership of the development agenda coupled with the spirit of self-reliance, at all societal levels, are major driving forces for the realization of the vision. Tanzanians should learn to appreciate and honour hard work, creativity, professionalism and entrepreneurship and strive to develop a culture of saving and investment. "
...and on and on...
*
Best regards,
Kigwa."
 
una assert?

Jamani wengine mmesomea wapi? Au ni uvivu wenu tu wa kujifunza mambo? Huku sasa ni kuaibisha hata shule mlizosoma! Mtu kuwa na hisa kwenye kampuni ambayo ina asset zenye thamani ya 5m haimaanishi sasa eti una hela kiasi hicho! Ukiliangalia hili kwa jicho hilo utapotea vibaya sana. Kwenye hiyo asset base kuna mambo mengi humo, kuna pesa ya benki iliyotununulia hizo assets, kuna asset za familia za wakurugenzi, kuna re-invested profit ya operations etc kwenye biashara kinachomata sana ni kuzungusha mtaji na kutengeneza faida, maana hizi assets hata hati zake bado ziko benki!
 
Hapo juu nimeweka kipengele cha kwenye vision 2025 ambayo inatokana na Mini Tiger Plan iliyokuwa na malengo ya kuleta mapinduzi makubwa ya viwanda Tanzania. Utaona walioiandika wamegusia suala la 'mindset' kwa umuhimu kabisa! Sasa ndugu zangu tunatakiwa kabisa tujipange kubadilika kwa vitendo kwa kuonesha jitihada na ndipo tutayaona mafanikio, bila hivyo itakuwa kila ukimuona mwenzio anaelekea kufanikiwa unamnyooshea kidole EPA, stimulus package etc etc kwani haiwezekani kufanikiwa hapa Tanzania kwa hard work na kutumia vizuri fursa zilizopo? Ukishaanza kuingia kwenye ujasiriamali utashangaa unakutana na vijana wengi tu siku hizi wanafanya mambo makubwa kabisa na tena wanaanzia from scratches kabisa! Ukiwa mlalamikaji hautokaa uone inawezekana hata siku moja na maisha kwako yatakuwa magumu siku zote! You are a speed governor to yourself, you make your own choices! You choose your own destiny...to soccer glory or to lead a miserable life!
 
Hapo juu nimeweka kipengele cha kwenye vision 2025 ambayo inatokana na Mini Tiger Plan iliyokuwa na malengo ya kuleta mapinduzi makubwa ya viwanda Tanzania. Utaona walioiandika wamegusia suala la 'mindset' kwa umuhimu kabisa! Sasa ndugu zangu tunatakiwa kabisa tujipange kubadilika kwa vitendo kwa kuonesha jitihada na ndipo tutayaona mafanikio, bila hivyo itakuwa kila ukimuona mwenzio anaelekea kufanikiwa unamnyooshea kidole EPA, stimulus package etc etc kwani haiwezekani kufanikiwa hapa Tanzania kwa hard work na kutumia vizuri fursa zilizopo? Ukishaanza kuingia kwenye ujasiriamali utashangaa unakutana na vijana wengi tu siku hizi wanafanya mambo makubwa kabisa na tena wanaanzia from scratches kabisa! Ukiwa mlalamikaji hautokaa uone inawezekana hata siku moja na maisha kwako yatakuwa magumu siku zote! You are a speed governor to yourself, you make your own choices! You choose your own destiny...to soccer glory or to lead a miserable life!

Dokta,
Mbona unachagua 'paragraph' zinazokutetea wewe kama 'honour hard work...'' lakini huisomi VISION 2025 THE TANZANIA DEVELOPMENT VISION 2025 yote pamoja na sehemu isemayo nanukuu hapa chini :



iv. Governance and the Rule of Law
Existence of this framework requires the society to:-
  • Build the capacity of the public sector, civil society, media, parliament, the law enforcement institutions and others inside and outside the government as a means to build accountability to concerns public;
  • Sensitize the people and raise their level of awareness as necessitated by the need to implement the Development Vision;
  • Adopt strategies to build integrity by promoting accountability and transparency;
  • Ensure that all service delivering institutions provide correct information and analysis in response to their obligations to society;
  • Enshrine and entrench the pillars and core values of the Development Vision into the Union Constitution to make them sacrosanct and thereby galvanizing Tanzanians behind their practical realization.
  • Source: THE TANZANIA DEVELOPMENT VISION 2025
 
Maelezo yako yako sawa, umejieleza vizuri. Tatizo hapa kuna baadhi ya watu wanakitu naweza kusema wivu ambapo mtu akipata mafanikio katika shughuli zake anaandamwa. Wanapenda kuona watu hawafanikiwi katika maisha na shughuli zao

wo! UNAWEZA KUNUNUA CHEO LAKINI SIO HESHIMA....
 
Doc, quoting u, 'GOD blessed, fearing and aggressive'

You had to start MSK from the scratch being jobless after being fired ( according to u )

Now, like one modest member asked; when u have no job you have no security, banks don't loan people who are not financially stable to buy a ginnery unless it was some sort of these microfinancing programs ...

How then did u secure a loan without securities?

Pls share ur enterpreneurial tips so I can fund my way out of collapsing business clutches!
 
Hapo juu nimeweka kipengele cha kwenye vision 2025 ambayo inatokana na Mini Tiger Plan iliyokuwa na malengo ya kuleta mapinduzi makubwa ya viwanda Tanzania. Utaona walioiandika wamegusia suala la 'mindset' kwa umuhimu kabisa! Sasa ndugu zangu tunatakiwa kabisa tujipange kubadilika kwa vitendo kwa kuonesha jitihada na ndipo tutayaona mafanikio, bila hivyo itakuwa kila ukimuona mwenzio anaelekea kufanikiwa unamnyooshea kidole EPA, stimulus package etc etc kwani haiwezekani kufanikiwa hapa Tanzania kwa hard work na kutumia vizuri fursa zilizopo? Ukishaanza kuingia kwenye ujasiriamali utashangaa unakutana na vijana wengi tu siku hizi wanafanya mambo makubwa kabisa na tena wanaanzia from scratches kabisa! Ukiwa mlalamikaji hautokaa uone inawezekana hata siku moja na maisha kwako yatakuwa magumu siku zote! You are a speed governor to yourself, you make your own choices! You choose your own destiny...to soccer glory or to lead a miserable life!

100% I agree......
 
Aisee huyu HK mmemuweka ki-mdudu/ kitimoto.. Ukweli ni kwamba hakuna mtu yeyote alieonyesha connection yoyote ya EPA sijui nini.. This thread oozes with jealously and envy kwakweli.. Yani the HATE in the air is so thick you could slice it with a blunt knife..lol. Mimi kwakweli sinaga upande wowote na katika hili swala la huyu bwana, sijaona ushahidi wowote au angalau ata hoja yenye uzito wowote ule wakutosha kuni-convince kuwa kunajambo hapa. Dr. HK ninampongeza kwa kuwekeza Tanzania (wezi wengi wa EPA wamenunua ma vogue tuu na majumba na hoteli dubai) huyu anaajiri watanzania wenzake. Kwakweli anastahili pongezi, pamoja na wahisani wenzake wa hiyo MSK ltd. Nyie watu mnao kaa maofisini kwenye ajira (makampuni ya wengine) mjifunze kuwa na moyo wakuwekeza na kujaribu sio tuu kuzoea servitude to the extent that when people do something positive like this, you attack them with the utmost ferocity. This thread= Chuki B-NaFSI.
 
Back
Top Bottom