Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,136
Wapendwa nilikuwa pale hazina leo nkapenda niwape tu vidokezo mwenye uwezo wa kufwatilia ajitahdi..nimekutana na wazee wawili na vijana wawili wakifwatilia yale malipo ya udom toka mwaka 2008
katika mazungumzo ikasemekana wakapewa copy za cheki za 2008 na za mwaka jana 2010,ikasmekana mkuu wa chuo alikuwa anachakachua mishahara yao,, alivyoona mhadhiri mmoja anaanza kuropoka akataka kutuma kundi ;lake azina kuja kuweka mambo sawa kabla ya kujua chama cha wahadhiri nacho kilikuwa na watu wanafwatilia
wakakubaliana wakutane siku fulan waende dar hazina pamoja mkuu wa chuo akawaamsha watu wake saa kumi na mbili wakaelekea dar wakawa wamevunja makubaliano na wahadhiri ndipo baadhi yao nao wakashuka dar wakakuta yaliowakuta
1)wakakuta mishahara iliongezwa mara mbili yaani 2008 kulikuwa na ongezeko lakini watu wakawa wanapewa hela ile ile..
2)wakakuta october kuna ongezeko lingine ambalo awakujua hazina wametoaa cheki halali lakini pesa walizokuwa wkaipata tofauti
3)salary slip zilizotoka hazina sizo walizokuwa wakipokea wahadhiri
4)mkuu wa chuo ameanzisha mradi wake kukata alfu 3 kila mhadhiri nati kwa ajili ya funeral contr na mwenyekiti wake ni mkuu wa chuo na makamu wa mfuko huo mlacha jamani huu wizi mpaka lini??
Mengine nafwatilia ntakuja baadae
katika mazungumzo ikasemekana wakapewa copy za cheki za 2008 na za mwaka jana 2010,ikasmekana mkuu wa chuo alikuwa anachakachua mishahara yao,, alivyoona mhadhiri mmoja anaanza kuropoka akataka kutuma kundi ;lake azina kuja kuweka mambo sawa kabla ya kujua chama cha wahadhiri nacho kilikuwa na watu wanafwatilia
wakakubaliana wakutane siku fulan waende dar hazina pamoja mkuu wa chuo akawaamsha watu wake saa kumi na mbili wakaelekea dar wakawa wamevunja makubaliano na wahadhiri ndipo baadhi yao nao wakashuka dar wakakuta yaliowakuta
1)wakakuta mishahara iliongezwa mara mbili yaani 2008 kulikuwa na ongezeko lakini watu wakawa wanapewa hela ile ile..
2)wakakuta october kuna ongezeko lingine ambalo awakujua hazina wametoaa cheki halali lakini pesa walizokuwa wkaipata tofauti
3)salary slip zilizotoka hazina sizo walizokuwa wakipokea wahadhiri
4)mkuu wa chuo ameanzisha mradi wake kukata alfu 3 kila mhadhiri nati kwa ajili ya funeral contr na mwenyekiti wake ni mkuu wa chuo na makamu wa mfuko huo mlacha jamani huu wizi mpaka lini??
Mengine nafwatilia ntakuja baadae