Anyisile Obheli
JF-Expert Member
- Dec 13, 2009
- 3,398
- 319
Weee! acha ubabaishaji hapa iki waiamini korani inapotaja uwingi, kwa nini hujawahi kuiuliza inamaanisha nini?.............NO. 1, 2 na 3 hawa wote uliotaja kama unaamini wapo, waliumbwa na nani ??. Kama huamini uwepo wao, je unaleta hadithi za kufikirika ??
mfano
AL BAQRA /2:50......inaposema;
50 Na tulipo ipasua bahari kwa ajili yenu na tukakuokoeni, tukawazamisha watu wa Firauni, na huku mnatazama.
|
na kama mko zaidi ya mmoja nyi wengine ni akina nani?