Siri nzito;sali usiku wa leo kukemea kikao cha freemassons kesho

.............NO. 1, 2 na 3 hawa wote uliotaja kama unaamini wapo, waliumbwa na nani ??. Kama huamini uwepo wao, je unaleta hadithi za kufikirika ??
Weee! acha ubabaishaji hapa iki waiamini korani inapotaja uwingi, kwa nini hujawahi kuiuliza inamaanisha nini?
mfano
AL BAQRA /2:50......inaposema;
50 Na tulipo ipasua bahari kwa ajili yenu na tukakuokoeni, tukawazamisha watu wa Firauni, na huku mnatazama.
51 Na tulipo muahidi Musa masiku arubaini, kisha mkachukua ndama (mkamuabudu) baada yake, na mkawa wenye kudhulumu.

siyo kubisha ihoji na hiyo korani kwamba wewe mungu kiumbe wa korani mbona unataja UWINGI uko na nani?
na kama mko zaidi ya mmoja nyi wengine ni akina nani?
 
.<b>...........<font color="#FF0000">.NO. 1, 2 na 3</font> hawa wote uliotaja kama unaamini wapo, waliumbwa na nani ??. Kama huamini uwepo wao, je unaleta hadithi za kufikirika ??</b>
<br />
<br />

No 1 ni malaika kwa mujibu wa bible (lusifery), baada ya kuanguka amepewa jina shetani.
No 2 ni malaika wale wale waliomuunga mkono shetani katika uasi wake(pepo wachafu) waisilamu wamewabatiza jina majini kwa kusudi la kutaka kuwatakasa maana wanafaidiana nao.
No 3 Roho mtakatifu ni nguvu takatifu ya Mungu katika utendaji wa wana wa Mungu. Na ukikuta mahala imetaja Roho takatifu hiyo ni kusema Mungu ama nafsi ya Mungu mwenyewe.
.
 
<br />
<br />

No 1 ni malaika kwa mujibu wa bible (lusifery), baada ya kuanguka amepewa jina shetani.
No 2 ni malaika wale wale waliomuunga mkono shetani katika uasi wake(pepo wachafu) waisilamu wamewabatiza jina majini kwa kusudi la kutaka kuwatakasa maana wanafaidiana nao.
No 3 Roho mtakatifu ni nguvu takatifu ya Mungu katika utendaji wa wana wa Mungu. Na ukikuta mahala imetaja Roho takatifu hiyo ni kusema Mungu ama nafsi ya Mungu mwenyewe.
.

.................... 1,2,na 3 wote hao kwa kuwa wapo, je wameumbwa na nani ??
 
.................... 1,2,na 3 wote hao kwa kuwa wapo, je wameumbwa na nani ??
&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
Wote hao wameumbwa na Mungu kwa kusudi la kumwabudu &lt;br /&gt;<br />
Nilikuwa nataka kukuweka sawa kwa kauli yako kwamba walioumbwa kumfanyia mungu ibada ni majini na binadamu. &lt;br /&gt;<br />
Ulinyamazia kwa makusudi uumbwaji wa malaika na kusudi lao ili kuhalalisha nadharia yako ya kwamba katika kufanya ibaada wanaoasi ni binadamu na majini tu. &lt;br /&gt;<br />
Sasa elewa kwamba malaika nao wameumbwa kwa kusudi hilo na shetani ni miongoni mwa malaika walioasi akiwa kwenye kundi la makerubi. Na wale malaika waliomuunga mkono walitupwa pamoja nae ambapo ninyi waislamu mnawaita majini na kujaribu kuwapa mlango ulio wazi kwa toba yao ambao kimsingi haupo. Haijalishi uzao wa Adamu utawapa jina gani wauite malaika waasi/ mapepo machafu/majini/mashetani/watesi/apolioni whatever they call, ni kitu kile kile na hayana toba.&lt;br /&gt;<br />
.
 
we jamaa nan alyekwmbia frmasons ni chama cha mpnga kristo? Af v2vngne km hamjui naomba achen mcjichukulie umaaruf kwny jf kwa v2 ambavyo havina maana maana unaweza fkwa na v2 ambavyo hjawaw fkwa navyo...au unataka?
 
achen udin humu jf, halafu watu wanalalamika jk analeta udini.na huu wa kwenu vp?ishu ulikuwa free masons,ukristo na uislam umetoka wapi hapa?
 
kwa wanaomjua KRISTO YESU ni nani peace to you! Acha kabisa huyu ni mwamba wa miamba oh glory to JESUS!!!!!!!!! Ahhhhhhhhhhhhhhmeeeeen!
 
&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
(1)Wote hao wameumbwa na Mungu kwa kusudi la kumwabudu &lt;br /&gt;<br />
Nilikuwa nataka kukuweka sawa kwa kauli yako kwamba walioumbwa kumfanyia mungu ibada ni majini na binadamu. &lt;br /&gt;<br />
Ulinyamazia kwa makusudi uumbwaji wa malaika na kusudi lao ili kuhalalisha nadharia yako ya kwamba katika kufanya ibaada wanaoasi ni binadamu na majini tu. &lt;br /&gt;<br />
Sasa elewa kwamba malaika nao wameumbwa kwa kusudi hilo na shetani ni miongoni mwa malaika walioasi akiwa kwenye kundi la makerubi. Na wale malaika waliomuunga mkono walitupwa pamoja nae ambapo ninyi waislamu mnawaita majini na kujaribu kuwapa mlango ulio wazi kwa toba yao ambao kimsingi haupo. Haijalishi uzao wa Adamu utawapa jina gani wauite malaika waasi/ mapepo machafu/majini/mashetani/watesi/apolioni whatever they call, ni kitu kile kile na(2) hayana toba.&lt;br /&gt;<br />
.

(1) Kimsingi umekiri kuwa Quran iko sahihi kusema " Majni na watu wameumbwa ili wamuabudu Mwenyezi Mungu"
(2) Tofauti ni kuwa " Mmeshayatolea HUKUMU kuwa hayana msamaha kabisa mbele ya Mwenyezi Mungu"
.............. ubarikiwe sana ! wenye akili watabaini !
 
.......... mungu mmoja (si wa3?)! aliyemtuma mwanae (aliyetumwa nae MUNGU?)! Yesu Kristo aliyehai (alipata kufa ?)!
Wagalatia kwa kulikoroga hamjambo, ndio maana taarifa yenyewe imekaa kipagani pagani!

Usiingize hoja za Mihadhara hapa. Kama huna cha kuchangia acha thread ipite angalia forum nyingine. Yeye ana kitabu kinachomwambia YESU alikufa,Akafufuka akapaa mbinguni na sasa YU HAI. Wewe una kitabu kinachosema hakufa. Na wote mmeletewa na kuaminishwa tu. Aliyekutana na Mwarabu kawa Muislamu,aiyekutana na Mmishenari wa kizungu kawa Mkristo hakuna ujanja hapo.
 
Freemasons principle yao moja kubwa ni kutengeneza some sort of a world religion which will be inclusive of all religions under a vaguely defined god.

Sasa hawa anaowasema ni kina nani sijui kwa sababu Freemasons claim to be rooted in enlightenment ideals.

A little knowledge is dangerous indeed.

Inanikumbusha enzi za utoto, tulikuwa tunaambiwa yale magari ya Red Cross ni ya "nyonya damu" au ma buddhist monks ni "wachawi".


Poleni sana ndg zangu tulipoagizwa kuwa "VITA VYETU SIO VYA DAMU NA NYAMA BALI NI VITA KATIKA ULIMWENGU WA ROHO KTK ULIMWENGU WA GIZA NA MAJESHI YA ROHO WABAYA mnafikiria tulikusudiwa nini?????????
 
Nani mwenye ushahidi kuwa freemasons wanapinga dini? Ukiwa mwanachama wa freemason unaruhusiwa kuwa na dini yako.. Haubadilishi dini yako! Mwanachama anaruhusiwa kuwa dini yoyote, acheni uongo wa matapeli wanaotaka kuuza magazeti na nakala za vitabu vyao kudai freemason is a religion! Freemason is an taasisi na sio dini!
 
we jamaa nan alyekwmbia frmasons ni chama cha mpnga kristo? Af v2vngne km hamjui naomba achen mcjichukulie umaaruf kwny jf kwa v2 ambavyo havina maana maana unaweza fkwa na v2 ambavyo hjawaw fkwa navyo...au unataka?
<br />
<br />
vp tena freemasons unataka kum bip mchungaji ?
 
Weee! acha ubabaishaji hapa iki waiamini korani inapotaja uwingi, kwa nini hujawahi kuiuliza inamaanisha nini?
mfano
AL BAQRA /2:50......inaposema;
50 Na tulipo ipasua bahari kwa ajili yenu na tukakuokoeni, tukawazamisha watu wa Firauni, na huku mnatazama.


51 Na tulipo muahidi Musa masiku arubaini, kisha mkachukua ndama (mkamuabudu) baada yake, na mkawa wenye kudhulumu.



siyo kubisha ihoji na hiyo korani kwamba wewe mungu kiumbe wa korani mbona unataja UWINGI uko na nani?
na kama mko zaidi ya mmoja nyi wengine ni akina nani?

......... ukisoma katika agano la kale (Kutoka) : " ............ na tuumbe mtu kwa mfano wetu"
hapo wengine ni akina nani?
 
Back
Top Bottom