Hapa waislam hawaruhusiwi kuomba maana aya zao zinasema majini ni viumbe wa mungu wao,ambao ndo wanatumiwa na freemasons!
Mkuu hawa watu wapo na wana nguvu sana, Ila MUNGU ni mwisho wa maneno yoooooooooote.i hate those damn stories about freemasons...i can say they dont exist.. why we africans behaving like this? look!! missionaries came in africa with bible and at period we had land.. but now they left us with bible and they have land.. ndio maana sipendi hizi scary stories..waafrica tunapenda sana kumezeshwa vitu especcially kama hicho kitu kimetoka kwa wazungu.. i have beenliving in europe na sijawahi kuwaoana wazungu wakienda kanisani na wengine wanasema kabisa hakuna Mungu na wanaishi raha mustarehe wengine wanathubutu kusema kabisa kuwa waafrica ni maskini wa kutupwa ndio maana wanamwamini Mungu ili kujifariji... i dont believe in this shit(freemasons)
<br />Hakika kama kuna asieamini mungu basi mungu yupo kuna waraka waliouona wana freemassons<br />
wamepanga tar 30 july 2011 kufanya kikao cha kuyaangamiza makanisa ya kiroho yanayosumbua<br />
uliomweengu wa mashetan...kama ulikuwa aujui hii iko live<br />
<br />
ndugu wapendwa shetan ni mbaya na mjanja klama hutomuwahi shetani atakuwahi so usiku wa leo <br />
usilale amka usiku kemea nguvu zote walizopanga kwa ajili ya kuyaribu na kuyafarakanisha makanisa na wachungaji<br />
ili nguvu za mungu zisitende kazi naamini mungu alie hai atawavuruga in jesus name...natangaza upofu na kila atakaeongea kuhusu hilo mungu akamuangamize kuanzia mguu aaliosimamia mpaka mdomo atakaoongea<br />
<br />
soma<br />
<br />
zab 24,97,99 usiku wa leo pambana ndugu mashetan awalali hao wanakuangamiza kesho usipowawahi wanakumaliza wewe<br />
<br />
mungu awaabariki siku zote sisini washindi
Hapa waislam hawaruhusiwi kuomba maana aya zao zinasema majini ni viumbe wa mungu wao,ambao ndo wanatumiwa na freemasons!
<br />Hapa waislam hawaruhusiwi kuomba maana aya zao zinasema majini ni viumbe wa mungu wao,ambao ndo wanatumiwa na freemasons!
<br />
<br />
acha ujinga. Uislam umehusu nini hapa. Yaliyotakiwa kufanya sala za maombi ni makanisa tu. Pumbaff zako. Waislam wana taratibu zao, si wajinga.
<br />Hakika kama kuna asieamini mungu basi mungu yupo kuna waraka waliouona wana freemassons<br />
wamepanga tar 30 july 2011 kufanya kikao cha kuyaangamiza makanisa ya kiroho yanayosumbua<br />
uliomweengu wa mashetan...kama ulikuwa aujui hii iko live<br />
<br />
ndugu wapendwa shetan ni mbaya na mjanja klama hutomuwahi shetani atakuwahi so usiku wa leo <br />
usilale amka usiku kemea nguvu zote walizopanga kwa ajili ya kuyaribu na kuyafarakanisha makanisa na wachungaji<br />
ili nguvu za mungu zisitende kazi naamini mungu alie hai atawavuruga in jesus name...natangaza upofu na kila atakaeongea kuhusu hilo mungu akamuangamize kuanzia mguu aaliosimamia mpaka mdomo atakaoongea<br />
<br />
soma<br />
<br />
zab 24,97,99 usiku wa leo pambana ndugu mashetan awalali hao wanakuangamiza kesho usipowawahi wanakumaliza wewe<br />
<br />
mungu awaabariki siku zote sisini washindi
<br />
<br />
tutakesha na kukemea nguvu zote na hila za yule muovu.
Attach basi nakala ya huo waraka wa siri ili tukuelewe zaidi
Mkuu!<br />
Just to correct <img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/frown.gif" border="0" alt="" title="Frown" smilieid="256" class="inlineimg" /><br />
<br />
Majini na Binadamu wote ni viumbe wa Mungu na ndinyo ilivyo.<br />
<br />
Kama ilivyo kwa Binaadamu, Majini pia kuna wanaotenda mambo mema na wanaotenda mabaya.<br />
<br />
Hivyox2 ktk freemasons kuna members ambao ni binaadamu na majini baina yao.<br />
<br />
Naomba uofautishe kati ya ufreemason na uislam.<br />
<br />
Pia naomba tuheshimiani na <b>tuvumuliane tofauti zetu za kidini</b> na tuangalie maendeleo ya nchi yetu, tuepukane na chokochoko za kidini zisizo na maana wakati <b>ndugu zetu wanakosa hata mlo mmoja huko vijijini.
i hate those damn stories about freemasons...i can say they dont exist.. why we africans behaving like this? look!! missionaries came in africa with bible and at period we had land.. but now they left us with bible and they have land.. ndio maana sipendi hizi scary stories..waafrica tunapenda sana kumezeshwa vitu especcially kama hicho kitu kimetoka kwa wazungu.. i have beenliving in europe na sijawahi kuwaoana wazungu wakienda kanisani na wengine wanasema kabisa hakuna Mungu na wanaishi raha mustarehe wengine wanathubutu kusema kabisa kuwa waafrica ni maskini wa kutupwa ndio maana wanamwamini Mungu ili kujifariji... i dont believe in this shit(freemasons)
Na sheikh mkuu awaomba wagwlwatia kuacha kutumia vunja jungu kuhalalisha dhambi
soma habari leo
<br /><br /><br />
<br /><br />
Acha ujinga. Uislam umehusu nini hapa. Yaliyotakiwa kufanya sala za maombi ni Makanisa tu. Pumbaff zako. Waislam wana taratibu zao, si wajinga.
Mapepo ni mapepo tu, hakuna classification yoyote! Kumheshimu mtu ni pamoja na kumwambia ukweli na sio kumpamba kwa maneno matamu, akipenda ameze au ateme! Then, life goes, hakuna haja ya kujilipua kwa sababu huko uendako, kuzimu, ni pachungu na panatisha!