Siri nzito;sali usiku wa leo kukemea kikao cha freemassons kesho

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,885
21,957
Hakika kama kuna asieamini mungu basi mungu yupo kuna waraka waliouona wana freemassons
wamepanga tar 30 july 2011 kufanya kikao cha kuyaangamiza makanisa ya kiroho yanayosumbua
uliomweengu wa mashetan...kama ulikuwa aujui hii iko live

ndugu wapendwa shetan ni mbaya na mjanja klama hutomuwahi shetani atakuwahi so usiku wa leo
usilale amka usiku kemea nguvu zote walizopanga kwa ajili ya kuyaribu na kuyafarakanisha makanisa na wachungaji
ili nguvu za mungu zisitende kazi naamini mungu alie hai atawavuruga in jesus name...natangaza upofu na kila atakaeongea kuhusu hilo mungu akamuangamize kuanzia mguu aaliosimamia mpaka mdomo atakaoongea

soma

zab 24,97,99 usiku wa leo pambana ndugu mashetan awalali hao wanakuangamiza kesho usipowawahi wanakumaliza wewe

mungu awaabariki siku zote sisini washindi
 
mkuu mbona sijakupata?
mbona migogoro imejaa makanisani long time ago?
au sijakuelewa vizuri
 
Hakika kama kuna asieamini mungu basi mungu yupo kuna waraka waliouona wana freemassons<br />
wamepanga tar 30 july 2011 kufanya kikao cha kuyaangamiza makanisa ya kiroho yanayosumbua<br />
uliomweengu wa mashetan...kama ulikuwa aujui hii iko live<br />
<br />
ndugu wapendwa shetan ni mbaya na mjanja klama hutomuwahi shetani atakuwahi so usiku wa leo <br />
usilale amka usiku kemea nguvu zote walizopanga kwa ajili ya kuyaribu na kuyafarakanisha makanisa na wachungaji<br />
ili nguvu za mungu zisitende kazi naamini mungu alie hai atawavuruga in jesus name...natangaza upofu na kila atakaeongea kuhusu hilo mungu akamuangamize kuanzia mguu aaliosimamia mpaka mdomo atakaoongea<br />
<br />
soma<br />
<br />
zab 24,97,99 usiku wa leo pambana ndugu mashetan awalali hao wanakuangamiza kesho usipowawahi wanakumaliza wewe<br />
<br />
mungu awaabariki siku zote sisini washindi
<br />
<br />
ni wakati wetu mimi na wewe kuanzisha huduma ya kiroho sasa!maeneo ya kkoo,upanga,masaki yanalipa maana fungu la 10 litakua kubwa!
 
Hii ni topic ya kiroho zaidi, aliye na Yesu Kristu wa kweli anaweza kuelewa. Kumbukeni sisi tunaomuamini na kusadiki kuwa Kifo cha Yesu Kristu pale msalabani ni ukombozi na ushindi kwetu basi shetani siku zote anapigana kila namna. Ni mimi kitu ambacho huwa nafurahi siku zote ni pale tu ninapotambua kuwa ktk vita hii sisi (wafuasi wa Yesu Kristu ni washindi siku zote=kwa damu ya Yesu Kristu pale msalabani) au mfano ni kama mtu anaangalia mechi ya marudio (recorded) basi hufahamu mshindi ni nani basi shabiki huwa na furaha,
 
wote tunaishia ktk udongo bro usiwe na wasiwasi ni dunia inawasumbua acha ujinga sali kwa ajili ya nafsi yako sio hao kifo ndiyo mwisho wa yote,
remember:money cant buy life.
Conquest-shetani atawakataa hiyo siku.
 
Pepo! Shindwa na ulegee! Hakuna awezaye zaidi ya huyu MUNGU mmoja 2nayemwamini na aliyemtuma mwanae pekee ulimwengu huu kwa ajili ya ukombozi na si mwingine zaidi ya YESU KIRSTO aliyehai sasa na hata milele. Asiyemwamini ameumia.
 
No weapon that is formed against you will prosper; And every tongue that accuses you in judgment you will condemn. This is the heritage of the servants of the LORD, and their vindication is from Me," declares the LORD.
 
huu wote ni umaskini kuamini amini vitu vya ajabu ajabu... Who the hell is freemasoni? Umewaona kwa macho?hivi ni vitu vya kusadikika .
 
hata kama freemasons wapo hawana mpango wowote na wewe mtanzania .. Kwanza hampo hata kwenye ramani yao.. You damn pooor country even without electricity hii ni adhabu tosha ..
 
Tarehe 30 ya leo ndio siku yangu ya kuzaliwa, nadhani basi na hicho kikao mie nahusika..
Freemason kitu gani bwana..,! Amini mungu tu, ndio kila kitu eti ukae uombee kikao kisifanyike cha watu usiojua e wala bee yao!
Sali sana mwombe mungu wako sana, tubu zambi zako sana, kuwa na upendo na wanadamu wenzio na usimshirikishe mungu wako na miungu wengine.
Kila kitu kipo katika vitabu na ni haja yako weye muumini wa kweli kutafakari.
Freemason kwa mungu hatii mguu...

Mungu atuongoze katika unyoofu..
Si katika ya wale wa upotofu,.
 
huu wote ni umaskini kuamini amini vitu vya ajabu ajabu... Who the hell is freemasoni? Umewaona kwa macho?hivi ni vitu vya kusadikika .

Freemasons principle yao moja kubwa ni kutengeneza some sort of a world religion which will be inclusive of all religions under a vaguely defined god.

Sasa hawa anaowasema ni kina nani sijui kwa sababu Freemasons claim to be rooted in enlightenment ideals.

A little knowledge is dangerous indeed.

Inanikumbusha enzi za utoto, tulikuwa tunaambiwa yale magari ya Red Cross ni ya "nyonya damu" au ma buddhist monks ni "wachawi".
 
Freemasons principle yao moja kubwa ni kutengeneza some sort of a world religion which will be inclusive of all religions under a vaguely defined god.

Sasa hawa anaowasema ni kina nani sijui kwa sababu Freemasons claim to be rooted in enlightenment ideals.

A little knowledge is dangerous indeed.

Inanikumbusha enzi za utoto, tulikuwa tunaambiwa yale magari ya Red Cross ni ya "nyonya damu" au ma buddhist monks ni "wachawi".

i hate those damn stories about freemasons...i can say they dont exist.. why we africans behaving like this? look!! missionaries came in africa with bible and at period we had land.. but now they left us with bible and they have land.. ndio maana sipendi hizi scary stories..waafrica tunapenda sana kumezeshwa vitu especcially kama hicho kitu kimetoka kwa wazungu.. i have beenliving in europe na sijawahi kuwaoana wazungu wakienda kanisani na wengine wanasema kabisa hakuna Mungu na wanaishi raha mustarehe wengine wanathubutu kusema kabisa kuwa waafrica ni maskini wa kutupwa ndio maana wanamwamini Mungu ili kujifariji... i dont believe in this shit(freemasons)
 
Hakika kama kuna asieamini mungu basi mungu yupo kuna waraka waliouona wana freemassons
wamepanga tar 30 july 2011 kufanya kikao cha kuyaangamiza makanisa ya kiroho yanayosumbua
uliomweengu wa mashetan...kama ulikuwa aujui hii iko live

ndugu wapendwa shetan ni mbaya na mjanja klama hutomuwahi shetani atakuwahi so usiku wa leo
usilale amka usiku kemea nguvu zote walizopanga kwa ajili ya kuyaribu na kuyafarakanisha makanisa na wachungaji
ili nguvu za mungu zisitende kazi naamini mungu alie hai atawavuruga in jesus name...natangaza upofu na kila atakaeongea kuhusu hilo mungu akamuangamize kuanzia mguu aaliosimamia mpaka mdomo atakaoongea

soma

zab 24,97,99 usiku wa leo pambana ndugu mashetan awalali hao wanakuangamiza kesho usipowawahi wanakumaliza wewe

mungu awaabariki siku zote sisini washindi
Tunaomba source ya information hii mkuu au ni hao tunaotaka watupe hesabu za mapato na matumizi ?
 
Pepo! Shindwa na ulegee! Hakuna awezaye zaidi ya huyu MUNGU mmoja 2nayemwamini na aliyemtuma mwanae pekee ulimwengu huu kwa ajili ya ukombozi na si mwingine zaidi ya YESU KIRSTO aliyehai sasa na hata milele. Asiyemwamini ameumia.

.......... mungu mmoja (si wa3?)! aliyemtuma mwanae (aliyetumwa nae MUNGU?)! Yesu Kristo aliyehai (alipata kufa ?)!
Wagalatia kwa kulikoroga hamjambo, ndio maana taarifa yenyewe imekaa kipagani pagani!
 
Hapa waislam hawaruhusiwi kuomba maana aya zao zinasema majini ni viumbe wa mungu wao,ambao ndo wanatumiwa na freemasons!
 
Na sheikh mkuu awaomba wagwlwatia kuacha kutumia vunja jungu kuhalalisha dhambi
soma habari leo
 
Back
Top Bottom