zenmoster
JF-Expert Member
- Oct 3, 2011
- 951
- 201
we umechanganyikiwa nini? wapi umeckia makanisani wanasema wapige kura chadema?? nyie ndo mliambiwa mmpigie kura kilaza...sasa yamewatokea puani...acha kuropoka tu...hukumbuki kuna hadi askofu mmoja alitamka kuwa RUBANI ni chaguo la mungu??Cuf ni chama cha haki sawa kwa wote!!! sio chama cha kufitinisha watu!!!! hata kama Uamsho wote ni mashabiki wa CUF kuna ubaya gani? ni kinyume cha katiba? mbona wagalatia wote mlihimizwa Makanisani kuipigia kura Chadema uchaguzi wa 2010?