Siri nzito kuhusu kutoonekana kwa kiongozi wa UAMSHO Zanzibar

AL-SALAM

Member
Oct 17, 2012
8
5
Kwa taarifa za uhakika nilizozipata kutoka kwa ndugu yangu wa karibu anayeishi zanzibar ni kwamba tukio la kutoonekana kwa kiongozi huyo wanayedai katekwa ni kwamba ni mpango maalum wa viongozi wa kikundi hicho kuwa wamfiche ili wapate kisingizio cha kufanya uharibifu zanzibar..na kikao hicho kilifanyika huku kiongozi mmmoja aliyesimamishwa kazi na rais shein akiwemo.hivyo wana uamsho wa ndani zaidi wanajua kuhusu tukio hili na kiongozi wao yupo anaangalia yanayojili huko.sasa wana uamsho wanatumia nafasi hii ili waweze kufanya uvunjifu wa amani eti kudai muungano uvunjike...pia kuna mtu anaitwa anajulikana kwa majina kifupi h.g huyu mwanazuoni elimu haijamsaidia ni hatari habari zaidi ntawajuza ndio wanasaidia fedha kutoka kwa wafadhili ili zitumike kufanya uhaini zanziabar...ntawarudia baadae..nyumba aliyokuwa amewekwa pia kaamishwa baada ya kuisi watashtukiwa.nawasirisha
 
Kwa taarifa za uhakika nilizozipata kutoka kwa ndugu yangu wa karibu anayeishi zanzibar ni kwamba tukio la kutoonekana kwa kiongozi huyo wanayedai katekwa ni kwamba ni mpango maalum wa viongozi wa kikundi hicho kuwa wamfiche ili wapate kisingizio cha kufanya uharibifu zanzibar..na kikao hicho kilifanyika huku kiongozi mmmoja aliyesimamishwa kazi na rais shein akiwemo.hivyo wana uamsho wa ndani zaidi wanajua kuhusu tukio hili na kiongozi wao yupo anaangalia yanayojili huko.sasa wana uamsho wanatumia nafasi hii ili waweze kufanya uvunjifu wa amani eti kudai muungano uvunjike...pia kuna mtu anaitwa anajulikana kwa majina kifupi h.g huyu mwanazuoni elimu haijamsaidia ni hatari habari zaidi ntawajuza ndio wanasaidia fedha kutoka kwa wafadhili ili zitumike kufanya uhaini zanziabar...ntawarudia baadae..nyumba aliyokuwa amewekwa pia kaamishwa baada ya kuisi watashtukiwa.nawasirisha

Huyo ndugu yako kwa hakika kama sio CCM mhafidhina ni Chadema!!! taarifa hizo ni za kichochezi! lengo kuu ni kutaka kuwagonganisha viongozi wa Uamsho na wafuasi wao!!! siasa za divide and rule!!! siasa za maji taka!!!!
 
AL-SALAM? Jina lako tu limekuumbua! Ungekuwa umesalimika ungeandika AS-SALAAM!
 
Kwa taarifa za uhakika nilizozipata kutoka kwa ndugu yangu wa karibu anayeishi zanzibar ni kwamba tukio la kutoonekana kwa kiongozi huyo wanayedai katekwa ni kwamba ni mpango maalum wa viongozi wa kikundi hicho kuwa wamfiche ili wapate kisingizio cha kufanya uharibifu zanzibar..na kikao hicho kilifanyika huku kiongozi mmmoja aliyesimamishwa kazi na rais shein akiwemo.hivyo wana uamsho wa ndani zaidi wanajua kuhusu tukio hili na kiongozi wao yupo anaangalia yanayojili huko.sasa wana uamsho wanatumia nafasi hii ili waweze kufanya uvunjifu wa amani eti kudai muungano uvunjike...pia kuna mtu anaitwa anajulikana kwa majina kifupi h.g huyu mwanazuoni elimu haijamsaidia ni hatari habari zaidi ntawajuza ndio wanasaidia fedha kutoka kwa wafadhili ili zitumike kufanya uhaini zanziabar...ntawarudia baadae..nyumba aliyokuwa amewekwa pia kaamishwa baada ya kuisi watashtukiwa.nawasirisha



Uzushi mtupu, kapige chupa
 
Huyo ndugu yako kwa hakika kama sio CCM mhafidhina ni Chadema!!! taarifa hizo ni za kichochezi! lengo kuu ni kutaka kuwagonganisha viongozi wa Uamsho na wafuasi wao!!! siasa za divide and rule!!! siasa za maji taka!!!!
kwa nini asiwe CUF....INA MAANA UAMSHO NI TAWI LA CUF
 
kwa nini asiwe CUF....INA MAANA UAMSHO NI TAWI LA CUF

Cuf ni chama cha haki sawa kwa wote!!! sio chama cha kufitinisha watu!!!! hata kama Uamsho wote ni mashabiki wa CUF kuna ubaya gani? ni kinyume cha katiba? mbona wagalatia wote mlihimizwa Makanisani kuipigia kura Chadema uchaguzi wa 2010?
 
Kwa taarifa za uhakika nilizozipata kutoka kwa ndugu yangu wa karibu anayeishi zanzibar ni kwamba tukio la kutoonekana kwa kiongozi huyo wanayedai katekwa ni kwamba ni mpango maalum wa viongozi wa kikundi hicho kuwa wamfiche ili wapate kisingizio cha kufanya uharibifu zanzibar..na kikao hicho kilifanyika huku kiongozi mmmoja aliyesimamishwa kazi na rais shein akiwemo.hivyo wana uamsho wa ndani zaidi wanajua kuhusu tukio hili na kiongozi wao yupo anaangalia yanayojili huko.sasa wana uamsho wanatumia nafasi hii ili waweze kufanya uvunjifu wa amani eti kudai muungano uvunjike...pia kuna mtu anaitwa anajulikana kwa majina kifupi h.g huyu mwanazuoni elimu haijamsaidia ni hatari habari zaidi ntawajuza ndio wanasaidia fedha kutoka kwa wafadhili ili zitumike kufanya uhaini zanziabar...ntawarudia baadae..nyumba aliyokuwa amewekwa pia kaamishwa baada ya kuisi watashtukiwa.nawasirisha

MH BASI KAZI IPO...SERIKALI INAKAZI SANA HAPO. hapo watu roho juu sipati picha nawewe si utaje jina kamili la huyo muhusika H.G SIO KUTUPA NUSUNUSU.MUNGU IBARIKI TZ
 
Cuf ni chama cha haki sawa kwa wote!!! sio chama cha kufitinisha watu!!!! hata kama Uamsho wote ni mashabiki wa CUF kuna ubaya gani? ni kinyume cha katiba? mbona wagalatia wote mlihimizwa Makanisani kuipigia kura Chadema uchaguzi wa 2010?
hakuna ubaya hata kama watanganyika,waunguja na wapemba wote wakiwa cuf...ubaya ni kuchoma maskani za ccm...kukatisha uhai wa ustaadh Said wakati naye ana haki ya kuishi kama wengine...
 
Cuf ni chama cha haki sawa kwa wote!!! sio chama cha kufitinisha watu!!!! hata kama Uamsho wote ni mashabiki wa CUF kuna ubaya gani? ni kinyume cha katiba? mbona wagalatia wote mlihimizwa Makanisani kuipigia kura Chadema uchaguzi wa 2010?
Yaano wote, wanaume na wanawake, mume mmoja mke mmoja. Au?
 
hapa kuna namna mtu gan akamatwe hata watu wasione au ndo ujasusi?? Lakin kuna wakat jamaa alijpeleka polisi baada ya mwenzake kukamatwa na hawakumkamata yeye.....inawezeka ikawa wanasheza shele watu kumficha huyo inawezekana sababu hawa Uhamsho ndo Cuf tofaut n ya majina tu na wamekuja upande wa dini ili kuwateka wengi na baada ya wengne kugundua wameachana nao sababu jamaa hawa watumiwa na baadh ya viongoz na wala hawana nia ya Dini kama Me Muislam nasema Uhamsho hawapganii Dini wanapgania Wanayoyajua wenyewe wanaopgania Dini vdume vya kwel vpo Libya wao n bure wanafk wanataka kututmia vijana kufanya fujo na watawapata wengne waliokosa kazi kama maisha yako magumu yatabaki magumu tu hata awe Rais nan Elimu huna kazi utaki hata kujiajili mwenyewe utaki unataka maskani halafu oohh!
 
Kwa taarifa za uhakika nilizozipata kutoka kwa ndugu yangu wa karibu anayeishi zanzibar ni kwamba tukio la kutoonekana kwa kiongozi huyo wanayedai katekwa ni kwamba ni mpango maalum wa viongozi wa kikundi hicho kuwa wamfiche ili wapate kisingizio cha kufanya uharibifu zanzibar..na kikao hicho kilifanyika huku kiongozi mmmoja aliyesimamishwa kazi na rais shein akiwemo.hivyo wana uamsho wa ndani zaidi wanajua kuhusu tukio hili na kiongozi wao yupo anaangalia yanayojili huko.sasa wana uamsho wanatumia nafasi hii ili waweze kufanya uvunjifu wa amani eti kudai muungano uvunjike...pia kuna mtu anaitwa anajulikana kwa majina kifupi h.g huyu mwanazuoni elimu haijamsaidia ni hatari habari zaidi ntawajuza ndio wanasaidia fedha kutoka kwa wafadhili ili zitumike kufanya uhaini zanziabar...ntawarudia baadae..nyumba aliyokuwa amewekwa pia kaamishwa baada ya kuisi watashtukiwa.nawasirisha

Any thing can happen"
 
hapa kuna namna mtu gan akamatwe hata watu wasione au ndo ujasusi?? Lakin kuna wakat jamaa alijpeleka polisi baada ya mwenzake kukamatwa na hawakumkamata yeye.....inawezeka ikawa wanasheza shele watu kumficha huyo inawezekana sababu hawa Uhamsho ndo Cuf tofaut n ya majina tu na wamekuja upande wa dini ili kuwateka wengi na baada ya wengne kugundua wameachana nao sababu jamaa hawa watumiwa na baadh ya viongoz na wala hawana nia ya Dini kama Me Muislam nasema Uhamsho hawapganii Dini wanapgania Wanayoyajua wenyewe wanaopgania Dini vdume vya kwel vpo Libya wao n bure wanafk wanataka kututmia vijana kufanya fujo na watawapata wengne waliokosa kazi kama maisha yako magumu yatabaki magumu tu hata awe Rais nan Elimu huna kazi utaki hata kujiajili mwenyewe utaki unataka maskani halafu oohh!

Lugha yako ya taifa ni lugha gani? Inaonekana unataka kutugombanisha watanzania. Omba msaada wa kufundishwa kiswahili kwanza wewe mwenye 'elimu' na 'kazi'!
 
mi nakubali kabisa,inawezekanaje mtu ashuke mwenyewe kwny gari na apande lingine,halafu useme amwtekwa?huu ni mpango yu hakuna lolote
 
Uamsho ni kikundi cha uhamasishaji cha CUF kama ilivyo TOT kwa CCM, si unakumbuka TOT iliimba , wapinzani tuwalete tuwachane chane tuwatupe, ​ na hawakukemewa.

yani huo mfano wako mi mbavu zangu hoiiiii
 
Vip Ally na Ali, mansur na mansoor.Reasoning zetu bwana ndo maana hawa wakristo huwa wanatuita sisi ni wa madrasa tu
Acha kuchanganya mambo wewe, hicho ni kiarabu huna hiyari ya spelling kama ulivyoonyesha. Unataka kusema weak na week ni sawa? Halafu madrassa maana yake ni shule! Uko kwenye siku zako nini? Pole!
 
Back
Top Bottom