fredmlay
JF-Expert Member
- Apr 30, 2008
- 1,849
- 388
Nyambala tutakuwaje serious wakati wewe unaonyesha udhaifu mkubwa kwa kubeza uranium, dhahabu nk eti coal na iron ore ndio itatutoa, kama tumeshindwa dhahabu ambayo ingetutoa kama tungeisimamia vizuri tutawezaje coal na iron ore. Kwataarifa tu ni kwamba huko serikalini wengi kama sio wote wana mawazo ya kijinga kama yako na ndio maana rasilimali zetu hazitunufaishi kitu ila zinamnufaisha mwekezaji, huo ni 'ukilaza' ndugu yanguTatizo naloliona kwa watanzania walio wengi ni kwamba wako obsessed mno na hiyo uranium but for a fact liganga, mchuchuma ndiyo haswaa kunaweza kufanyika serious mining ya kututoa watanzania. Coal na iron ore deposit ya pale ina thamani kuliko proven reserves zote za gold Tanzania ukichanganya na ile iliyochimbwa na kuuzwa pia.Wakuu Niger kuna uranium ya kufa mtu na imeanza kuchimbwa miaka kibao, vipi wamefaidika nini ulifanya comparison say hata na Equatorial Guinea au Angola. Kuna uranium kibao Namibiana imeanza kuchimbwa siku nyiingi. Ukija South Africa ya kumwaga, lakini hata siku moja SA wakiwa wanazungumzia mining industry hawaifikirii hata kuifikiria. There's huge deposits of uranium in Australia na inachimbwa miaka kibao. LAKINI "THE MOTHER OF ALL MINING INDUSTRY NI COAL NA IRON ORE".Wawekezaji wa coal wameliona hilo na wanajua watanzania tunapuuzia na hatujui kitu kuhusu coal, si inaitwa mkaa, hivyo hapa tutapigwa bao balaaaa!!!! Lakini kama tungekuwa taifa serious coal mining ndiyo tungeikazania kwa sasa.